Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Inasemekana hata zamani hizo wakenya ndio walisababisha wazungu watuone ni nyani kutokana na ufinyu wao mdogo wa kufikiri na kufanya mambo ya ajabuajabu ya kihayawani.

Tukianza na hapa jf mtazame MK254 utagundua hayuko sawa kiakili
 
Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Hiyo mikoa umetaja,haikai waislamu watupu,wapo wa dini nyingine na wasiokuwa na dini.
 
Ah lilikuwa suala la muda tuu. Ukiwa huna hela dunia hii utafanya jinsi shetani anataka tuu
 
Duh! Si mchezo. Sikuamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…