Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Juma ni jina tu,maana ya ya Juma ni week,ni jina la mtu yoyote.Kwenye uislamu,hakuna ndoa ya jinsia moja.Na uislamu,ukienda kinyume na makatazo yake,automatically anatoka katika uislamu.
Balahau hujabatizwa tu?!
 
Haya yatakuwa kama vile ni matokeo ya Kenya kuwa na katiba mpya
Hawa ndiyo rolemodels wa CHADEMA, kidogo kidogo wataweka mtandao kama wa CHADEMA kutafuta wanachama na wapenzi. Tusikubali. Tusikubali. Tusikubali.
 
Wazungu,watalii wanaoingia sehu mbalimbali duniani,ndio michezo yao hiyo.
Hebu kaa kimya cholo!
Sio ww mnaosemaga ulaya Makanisa yanauzwa na kugeuzwa miskiti na wazungu wanasilimu!
Sasa wanaufuāta uisilamu na kuuishi kwa vitendo! badala ya kupiga takbirrr unaleta uzwazwa![emoji56][emoji12]
 
Nasikia W.S RUTO amebadili gia angani, tofauti na matarajio ya wakunya wengi [emoji23][emoji23]

N:B Ujio wa yule mama kutoka magharibi unamaswali mengi sana...
 
Ongeza lile li ng'ombe lilojiita choku sijui chokoraa ni mkunya
 
Anatimiza matakwa ya mabwana zake waliomuweka madarakani
 
Kwanza hao wapenzi wanatambulika huko Kenya ?

Maana kama haiwatambui wanakuwaje na haki ya kukusanyika!

Ni sawa na kusema machangu wanaweza kukusanyika ili hali hawatambuliki.
Hawa mahayawani hayawezi kushinda. Serikali ya Kenya inapeleka muswaada mkali bungeni ku criminalize activities zote za mashoga
 
Hivi comte ulizaliwa na akili kwel au ubongo wako upo kabatini pale rest room Lumumba? Katiba mpya inahusiana nin na huo upuuzi wa upinde?
Si Kenya waliandika katiba mpya na haya ni matokeo yake au mie sielewi?
 
Hata hapa Tanzania ni suala la muda tu. Mzungu hajawahi kushindwa ktk Jambo lake analolisimamia.

Mlipinga chanjo ya korona lkn mwisho wa siku ikaingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…