- Thread starter
- #181
Sisi ni kuwasha mwenge kulikotutoa akili au kitu gani? Mbona hatuna focus na chochote?
..wakulima wa avocado wa Tanzania wamehangaika bila msaada wa serikali na wataalam kwa muda mrefu.
..wenzetu wa Kenya wanapata msaada wa kitaalamu ktk kila hatua mpaka kufikia hatua ya kuuza nje.