KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Bahati mbaya sijaandika unachotaka ndo maana unatoa povu kama kawaida!
Wala sijatoa povu lakini kama huwezi kutofautisha kufuta uchaguzi kwa Jecha na kilichotokea Kenya then sina uwezo zaidi.All in all wale ni Kenya na sie ni Tanzania.Wameuana mpka kufikia hapo sie tumeua kidogo tu.
 
Wakikaa vibaya watashikana mashati muda sio mrefu. Haswa jamaa akigoma kurudia
 
Habarini!
Kwanza kabisa napenda niwapongeze wakenya kwa hatua kubwa ambayo system yao ya democrasia upande wa kuchagua rais wamefikia!
Kitendo cha mahakama ya juu kutengua matokea ya urais ambayo yalisema Uhuru Kenyatta ndo mshindi kwa kigezo kuwa hayakuwa halali ni cha kupongezwa.

Kura za wakenya zilidukuliwa ktk computer.
Kitendo hili kimewahi tokea pia Tanzania ingawa huku kwetu matokeo yalitenguliwa na ZEC badala ya mahakama kwa sababu hizi hizi za udukuzi. Hivyo Jecha na team yake wanastahili pongezi nyingi sana kwa kutengua ule ushindi batili wa Seif ktk uchaguzi wa rais Zanzibar 2015.

Tanzania nasi tulikataa huu upuuzi wa kudukua matokeo ya uchaguzi kama majirani zetu walivyofanya! Demokrasia ni kuwaacha wananchi wake wachague viongozi wao wanaowataka wao sio kutumia komputer kwa njia za panya.
Heko to Tanzania na Kenya.
Katika watu wapumbavu na wajinga katika dunia .
 
Uhuru Kenyatta is a thief.

Once a thief always a thief.

Yote yaliyofanyika kwa kuua Chris Msando , na system failure all that was a planned incident.

Ulikuwa na yeye akiuua Msando. System failure uliiskia wapi?
Nakuelewa lakini. Nasa wamepata miezi ingine mbili ya kueneza propaganda na uongo.

Kumbuka, baada ya siku 60...

Voting - Manual
Counting - Manual
Filling Form 34A - Manual
Filling Form 34B - Manual
Tallying - Manual
Announcing - Manual

Wakati huu kwanza niko sure kwamba website portal ya kuonyesha real-time results itaondolewa kwa sababu ya ubishi mwingi.
Hio inamaanisha kwamba Raila atashindwa wakenya wakiwa 'gizani', na kwa mara ya tano maishani mwake, atasema ameibiwa.

Na nikitumia matamshi yako. Once a thief, always a thief.
Bahati mbaya kwa Raila hakuna Supreme Court tena baada ya kichapo cha pili.
 
Kuna Mtu alitoa shikamoo Kenya ........... kwa hili kweli wanastahili!!

Kwetu wakisikia tu unalalamika, wanakimbilia kutangaza final results ... Game Over!!
 
Uchaguzi ulipita bila vita ila naona wanaitafuta vita.....

Odinga hawezi kushinda uchaguzi....
 
upload_2017-9-1_14-17-4.jpeg
 
Uamuzi uliotolewa na mahakama kuhusu matokeo ya uchaguzi, si ushindi kwa wanademokrasia wa kenya, ni ushindi kwa africa nzima dhidi ya mizengwe ktk chaguzi inayofanywa na tawala dhalimu za kiafrica.
 
Back
Top Bottom