jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Huo ni uuaji.Tukizuia nafaka kwenda kenya hawa jamaa watateseka sana
Ni akili za ccm hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uuaji.Tukizuia nafaka kwenda kenya hawa jamaa watateseka sana
Do it please!!!!!We should aid Zanzibar wapate uhuru from Tanganyika. We should show them our might
The next general election CCM wakiwin naona kavita kakipiganwa TanzaniaSo long ccm is in power I will fight alongside you.
Wa TIZIII hamuwajui wakolomije na Lugumi?khaaaaa, mbulula maana yake ni mjinga. wamasai watakataaje kukaa tanzania wakati kenya mnaukabila unaonuka? mtawatenga kama kinyesi. tena huku hakuna ukame. wanachungia watakavyo na malisho ni makubwa. kenya watakaa wapi? wasambulu tu mmeshindwa kuwalea
Angalia map uniambie how logical this isethiopia mjanja sana hahahahahaahahahah😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ethiopia-ships-to-dock-at-Dar-es-Salaam
https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=2&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwjckuy8lb_TAhWLORQKHX0hCm4QFggqMAE&url=http://www.thecitizen.co.tz/News/Ethiopia-ships-to-dock-at-Dar-es-Salaam/1840340-3874274-5buw34/index.html&usg=AFQjCNEhEtRYQB6WaAFOkWAZATQJsbdmbg
Na nyinyi mkuwe wajanja, msichague mutu inatoka kabila moja na huyu jamaa ya chato kwa kipande hii ya tizii.The next general election CCM wakiwin naona kavita kakipiganwa Tanzania
siasa zitakuuuwa😀😀😀😀😀😀😀😀 umevamia mada sioSo long ccm is in power I will fight alongside you.
through uganda and sudan 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 nyie simutakua kwenye vita kama 1 year hviAngalia map uniambie how logical this is
Hapo mliconiwa man. That is a very loooooooooooooooooooong route.through uganda and sudan 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Wala sijavamia mada.siasa zitakuuuwa😀😀😀😀😀😀😀😀 umevamia mada sio
nyie mutakua kwenye vitaaa sasa afanyaje😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ethiopia mjanja sanaHapo mliconiwa man. That is a very loooooooooooooooooooong route.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 chuki za siasa hahahahahahahhaWala sijavamia mada.
Ccm ni adui yangu, kwa hiyo adui wa adui yangu ni rafiki yangu.
Kenya is avery peaceful country mate. Hakuna vita anytime soon. Plus I am pro Oromo revolution movement.nyie mutakua kwenye vitaaa sasa afanyaje😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ethiopia mjanja sana
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 unanifurahisha sanaKenya is avery peaceful country mate. Hakuna vita anytime soon. Plus I am pro Oromo revolution movement.
maana burundi na rwanda washatangaza kutumia SGR ya tanzaniaWivu wa kukataa kufungua Bolongoja gate unawawasha! Ntafurahi Museveni akitangaza rasmi Uganda kujiunga na SGR project ya Tanzania
Wanamjaribu Magufuli wametoka ngano sasa wanaenda gesi..maana burundi na rwanda washatangaza kutumia SGR ya tanzania
wanatapatapa tu hawajulikani wanataka nini😀😀😀😀😀😀😀Wanamjaribu Magufuli wametoka ngano sasa wanaenda gesi..
Hata kwetu wapo.. Njooni tuHapa aatoa maoni yake kama a conservationist si kama mKenya. Serengetti inafaa kuwa untouched. Ama mtatufanya tukasirike tuikujie pia hio