joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya’s super rich now control two thirds of Sh6.2trn economyTakwimu ziko wapi hizo za kuonesha Kenya inamilikiwa kwa asilimia tisini na wazungu. Hao wazungu pia majina yao nayangoja. Au ndo upo kwenye shughuli ya kutafuna minofu ya albino? Maliza fasta basi. Afu ukishashiba pitia ujumbe wa Kafrican hapo juu.
Nairobi slum population- 5%We Hujitambui kabisa
Lete Orodha ya Slum 100
Kama da imo nami nitakunywa maziwa ya mbwa kama wakenya
Nimekuambie ulete hizo Takwimu ulizo sema hapa[emoji107]Hizi comment zako unaandikiwa na mtu mwingine au? Yaani hueleweki kabisa. Unabadilisha gia sana. Rudi kwenye zile mada zako za magaidi wenzako al-shabaab. Au tamaa yako ya kujilipua iliisha?
Unaweza kuniambia Kwanini mnatuwakilisha vyema hapa!!Nairobi slum population- 5%
Dar slum population- 70%
Maskini wa kutupwa nyinyi ndo maana mmejaza omba omba kila mahali Kenya...hadi lodwar, Turkana utawapata tu omba omba wa Tanzania
Ajabu kwanini haipo hata kwenye Top 10000 slumsAsilimia kubwa ya watz wanaishi kwenye slum. Asilimia ndogo iliyobaki wapo Kenya wakiombaomba. Acha ikuingie akilini ndo upate hasira ya kuenda kudai bikra zako 72!
Masikini hawa hapaNairobi slum population- 5%
Dar slum population- 70%
Maskini wa kutupwa nyinyi ndo maana mmejaza omba omba kila mahali Kenya...hadi lodwar, Turkana utawapata tu omba omba wa Tanzania
Nairobi slum population- 5%
Dar slum population- 70%
Maskini wa kutupwa nyinyi ndo maana mmejaza omba omba kila mahali Kenya...hadi lodwar, Turkana utawapata tu omba omba wa Tanzania
low IQ kama hizo niza wakenya tu# siwez endelea kuzungumza na watu Wenger low Iq kama ninyiMnapoteza nguvu nyingi kubishana vitu vinavyotokea kila pembe ya duniani.
South Africa matajiri uchumi unamilikiwa na nani kwa % kubwa?
Kenya wazungu wanamiliki uchumi kwa hizo takwimu zako lkn pia Kenya wapo matajiri weusi wanaomiliki viwanda vikubwa na biashara kubwa sana kuliko Tanzania.
Wakenya walio na uchumi mkubwa kuzidi level ya R.Mengi ni wengi sana kuliko Tanzania.Maana yake Tanzania hakuna watanzania weusi wenye uchumi mkubwa kama ilivyo Kenya.
Hapa tunajivunia akina Bahresa,Mo na wengine ambao ndio hao wanaosemwa wanamiliki uchumi wa Kenya.
Tupee source ya io list......unapinga Kenya hakujajaa omba omba wa Tanzania?Unaweza kuniambia Kwanini mnatuwakilisha vyema hapa!!
Takwimu ziko wapi hizo za kuonesha Kenya inamilikiwa kwa asilimia tisini na wazungu. Hao wazungu pia majina yao nayangoja. Au ndo upo kwenye shughuli ya kutafuna minofu ya albino? Maliza fasta basi. Afu ukishashiba pitia ujumbe wa Kafrican hapo juu.
We mwenye high IQ tuelezee kama hii si 70%low IQ kama hizo niza wakenya tu# siwez endelea kuzungumza na watu Wenger low Iq kama ninyi
Hihi hio ripoti ndo ya kujitetea? The same report wich said Tanzania beloe poverty line is at 79% of the populationAcha kutapatapa na kutafuta screenshot za kujitetea, juzi tu hapa umoja wa mataifa umeitangaza Tanzania kuongoza katika Africa kwa kuwa na the most Inclusive economy, umeanza kuweweseka kwa kuanza kutafuta taarifa za vichochoroni ili kujiliwaza.
Haya mambo yanatokana na research za kitaalamu zilizofanywa na wataalamu wenye level na sifa za kidunia, sio maneno au tafiti za Twaweza zinazofanywa na wajaluo na wakamba wenye njaa na wala rushwa, wapo tayari kupokea pesa na kupika data ili kumridhisha mtu fulani. Kwa ufupi" Tanzania leads sub sahara in Inclusive economy".
Kaka unatumia akili katika kujenga hoja au unatumia sehemu gani ya mwili?. Tanzania inaongoza kusini mwa jangwa la Sahara katika inclusive economy, hivi unaelewa maana yake nini?Mnapoteza nguvu nyingi kubishana vitu vinavyotokea kila pembe ya duniani.
South Africa matajiri uchumi unamilikiwa na nani kwa % kubwa?
Kenya wazungu wanamiliki uchumi kwa hizo takwimu zako lkn pia Kenya wapo matajiri weusi wanaomiliki viwanda vikubwa na biashara kubwa sana kuliko Tanzania.
Wakenya walio na uchumi mkubwa kuzidi level ya R.Mengi ni wengi sana kuliko Tanzania.Maana yake Tanzania hakuna watanzania weusi wenye uchumi mkubwa kama ilivyo Kenya.
Hapa tunajivunia akina Bahresa,Mo na wengine ambao ndio hao wanaosemwa wanamiliki uchumi wa Kenya.
Unaweza kuniambia Kwanini mnatuwakilisha vyema hapa!!
Hivi unajua maana ya inclusive economy na poverty?, wewe unatapatapa na kutafuta tundu la kupumulia ili upate hew safi, Tanzania has Inclusive economy than any other country in Sub sahara Africa, doesn't mean that is rich. Acha kugeuza mada kuu ambayo inazungumzia uchumi wa Kenya kuwa mikononi mwa watu wachache na walio wengi kubaki kama watazamaji.Hihi hio ripoti ndo ya kujitetea? The same report wich said Tanzania beloe poverty line is at 79% of the population
Jenga hoja sio matusi au unapo comment hutaki watu wa argue?Kaka unatumia akili katika kujenga hoja au unatumia sehemu gani ya mwili?. Tanzania inaongoza kusini mwa jangwa la Sahara katika inclusive economy, hivi unaelewa maana yake nini?
Hapo ndipo tumshukuru Mwenye Enzi Mungu kwa ajili ya Nyerere!Duuu hiyo kitu sio nzuli kwa uchumi Wa nchi kushikiliwa na kakikundi ka watu huku jamii kubwa kubaki kwenye Lindi LA umaskini, ubepari kwa njia moja ni mzuli kama taifa litakua makini ,lakini ni mbaya kama taifa halitochukua hatua nzuli, mnakua na sifa kubwaa kua mna uchumi Mkubwa lakini ndani asilimia kubwa Wa raia maskini Wa kutupwa kitu kibaya sana,
Naona ni kama watanzania wanawataka wazungu wa kenya kwa minajili ya ufuska!
Achananeni na wazungu wa kenya,they are kenyans,and born in Kenya and they are citizens,sijui mna yepi ya kusema hapa nyie.