Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Kwahyo mkuu unataka huyu amina wa huku kwetu anayejua kubusu anaweza akawa amepitia kwako nini😁😁😁😁
 
Je hiyo ya kutoka tumboni inatibika??
Kwa utaalamu nilionao kwenye hio sekta πŸ€“πŸ€“

Dawa pekee ni unanunua dawa ya meno sema aina ya hiyo dawa ni ngumu kuipata hivi hivi itabidi upande mabasi ya mkoani kuna watu wanauza zile dawa za meno njiani ukiipata unaikamulia yote tumboni afu unameza
(umeze huku umefumbua macho ukifunga tu itabidi urudie process)
Naimani tatizo mwenye nalo litakua limeisha

😁😁😁😁
 
Ukikuwa mutu muzima hutalalamika.
Mwanaume ni mwalimu, anza kumwelimisha mpenzi wako kidogo kidogo atakuwa bora hutolalamika
 
Huwezi kuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…