KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

Kama kinachoangaliwa ni roho sio mavazi,basi roho itakiwayo ndo ikae nje,na mavazi yakae ndani ili yasionekane,,kwani mavazi huiwakilisha roho
 
Kama kinachoangaliwa ni roho sio mavazi,basi roho itakiwayo ndo ikae nje,na mavazi yakae ndani ili yasionekane,,kwani mavazi huiwakilisha roho
Wee jamaa' kuna kitu kinaitwa wearing code
Kwann padri havai bukta?
Au sister kimini??
 
Gwajima hana kosa siasa na dini huwezi kuvitenganisha,ndo maana hata wanasiasa wanaombewa na na wachungaji
 
waambie vijana waache ushamba, we live in the era of improvised generation, vitu kama hivyo ni kawaida, ulokole upo moyoni japo mavazi au tabia mbovu ni kumuaibisha Mungu wetu tuliembeba.

Masanja mbona anavaa kawaida sana....sijui kama mtoa mada amemuona K.Franklin aisee hasa akiwa jukwaani.

dunia inabadilika jamani.
 


Tamaduni za wazungu tusizilete tusizilete huku, ki ukweli massanja mkandamizaji analichafua sana kanisa la Mungu, hivi mchungaji wa kondoo kweli anavaa hivyo?????? jamani tuacheni utani kwa Mungu.
 
mbona kavaa kawaida sana ,asee shetani anapambana
 
A
Leo nimeona picha ,yuko kwny ndege na binti mmoja,sasa jamaa akaanza kumhusisha mungu kweny mambo yake,anamsifia yule binti ni mzuri,na anamshukuru aliyepanga seat za ndege,huyu jamaa ni jipu
Anaenda kuhubiri kwa kswahili Marekani kila wiki na nyie hamjiongezi.Masanja piga kazi na mbavu zao zikikusogelea piga nazo na sembe kama kawa
 
MMEKUBALI KUTUMIKA ALIYEKUAMBIA MASANJA NI MCHUNGAJI NI NANI.YEYE YUPO HAPO KUENDELEA NA ZE COMEDY YAKE! KWANI WATOTO WAKIIGIZA KAMA BABA NI KWELI BABA.HAPO ANAIGIZA KAMA MCHUNGAJI NA NYIE MAZUZU MNATOA KIINGILIO BILA YA KUJUA KWA MOYO MWEUPE.YEYE HANA KOSA LOLOTE!!
 
Yaani hujaelewa kweli kilichoandikwa au unajitia kichwa ngumu? Ukiambiwa wazinzi hawataingia mbinguni maana yake ni kwamba asiye mzinzi ni mbinguni direct?
Mkuu nafkiri wewe pia unataka kuchanganya mafaili! Sijaelewa concern hasa ya swali lako kwangu,na cjui pia ni wapi nlipomaanisha hicho unachokisema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…