moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Wahaya hawana mfano,Wahaya je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahaya hawana mfano,Wahaya je?
Unakuta lihaya lihandsome.leusii ,limepanda hewani Luna range ya hatari.simu ikipigwa kririi aiyaa linachafua hali ya hewa na mawee! Bojoo! Wagambaki katerero maweeee .pozi linakataWahaya hawana mfano,
Wayomba kwa nhana nkoi, senji doho Ng'honoyo.Jomba kama huwez kujinadi na kabila lako kaa kimya huo ni utumwa wa fikra zako. Nchi huru hii, kama unaionea aibu lugha yako ya kwanza ni upumbavu wako.
Tojaghi baghosha, lekanagi na katumbafu ak'haa
..Unakubali kuajiriwa
[emoji57] wake up
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali na hao wahayaUnakuta lihaya lihandsome.leusii ,limepanda hewani Luna range ya hatari.simu ikipigwa kririi aiyaa linachafua hali ya hewa na mawee! Bojoo! Wagambaki katerero maweeee .pozi linakata
Wahaya ni kiinglish kila mahali!Wahaya je?
Kihaya hadi ulayaWahaya ni kiinglish kila mahali!
Rafiki hadi saa hizi hujalala?....njoo tulale jamani!Kihaya hadi ulaya
NasomaRafiki hadi saa hizi hujalala?....njoo tulale jamani!
Sasa kila mmoja asipokubali kuajiriwa, nani atamsaidia aliyejiajiri? Otherwise labda umejiajiri kimradi cha mfanyakazi mmoja(wewe), ila kama business yako ni kubwa, lazima uajiri. Sasa kila mmoja asitake kuajiriwa....Unakubali kuajiriwa
[emoji57] wake up
Wasikusumbue msukuma wangu, ndio maana nakupendaMmh hadi lugha tunapangiana,mtaanza kutupangia hata kupiga chafya...uwe unaziba maskio mkuu ( imejipost)
Ohhhhhh rafiki kumbe wewe ni mwanafunzi!....nikafikiri ni nyege zinakunyima usingizi kama mimi!Nasoma