Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Jomba kama huwez kujinadi na kabila lako kaa kimya huo ni utumwa wa fikra zako. Nchi huru hii, kama unaionea aibu lugha yako ya kwanza ni upumbavu wako.

Tojaghi baghosha, lekanagi na katumbafu ak'haa
Wayomba kwa nhana nkoi, senji doho Ng'honoyo.
 
ila wamasai ni mwisho hao wasukuma cha mtoto, arusha nzima ni kimasai kwa kwenda mbele
 
Mkuu una ajenda nyingine dhidi ya kisukuma naona. Kama kinakutia kichefuchefu fanya kama "wanyalu" wanavyopenda kufanya. Nunua kamba kwa bei ndogo uwaache na makelele yao.
 
Mimi natamani kujua lugha yoyote ya Tz
.yani mtu kuongea lugha yao namuona kama shujaa.
Napenda vibaya mno
 
Unakuta lihaya lihandsome.leusii ,limepanda hewani Luna range ya hatari.simu ikipigwa kririi aiyaa linachafua hali ya hewa na mawee! Bojoo! Wagambaki katerero maweeee .pozi linakata
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali na hao wahaya
 
Yaani hii mada ni miongoni mwa mada za kijuha kikutana nazo tangu nilipojiunga jf. Tuseme kwa mfano, watanzania wawili wakutane Marekani, kisha mitaani wao wabonge Kiswahili kwa kuwa ni lugha waliyoizoea tokea utotoni, kisha wamarekani waseme Mitanzania ni mijinga kisa wanaongea lugha yao iliyowakuza?
I ling'wana lyenele linyolile gete.
 
Unakubali kuajiriwa

[emoji57] wake up
Sasa kila mmoja asipokubali kuajiriwa, nani atamsaidia aliyejiajiri? Otherwise labda umejiajiri kimradi cha mfanyakazi mmoja(wewe), ila kama business yako ni kubwa, lazima uajiri. Sasa kila mmoja asitake kuajiriwa....
 
Weee shida yako ni kiluga au mtoko. Je hujawaki kutoka na sie wa BK.!! Acha ushamba weee.
 
Back
Top Bottom