Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Status
Not open for further replies.
Wewe jamaa ni chizi unalazimisha maisha ya kifahari wakt wewe ni masikini,masikini siku zote inatakiwa mvumiliane,mfano nyumba ya kupanga wapangaji 20 choo kimoja,chumba kimoja mnalala watu 3 hadi 4,darasani watoto wa masikini wanakaa 80 hadi 90 shule za st kayumba,kwenye basi mnakaa 65 hadi 70....

Chakufanya tafuta pesa uepuke umasikini,ukiwa na pesa utakodi basi zima peke yako,si ulisikia yule dada wa morogoro? Utapanda ndege business class ule bata mamaeee na kikubwa zaidi utanunua range rover sport uendeshe mwenyewe unache kubanana mjinga wewe,

Kwahy we fala endelea kutafuta pesa ili uishi kifalme ila kama huna pesa kwasasa ishi kwa kuwavumilia masikini wenzako..maaana ukiwabangua kwenye basi utaenda ukalie kijiko kwa mama ntilie ambacho kamaliza kulia mwenzako na kikasuswa maji mara moja tu.

Remember this THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY.

Mbanguzi sana wewe masikini.

[emoji3][emoji3][emoji3] natoka nyumbani kwenda kujitegemea kuepuka mabalaa kama hayo nimechukua nyumba nzima dodoma kwa kodi kubwa tu ili kukimbia watu wa ovyo kama nyie so mimi sina maisha ya kifahari ila sipendi bugudha za wanadamu , na mnapoambiwa ukweli jaribuni kujifunza muwe na nidhamu sio mnawaka ukweli nilikuwa nasikia habari za ovyo za wasukuma leo ndio najionea mwenyewe [emoji3]
 
Wote tunahangaika ndio mana hatutulii majumbani kwetu lakini swala la usafi lipo palepale husitetee upuuzi
Mwenzako ananuka wakati na wewe mchaga hujui kuandika kiswahili,HUSITETEE maana yake Nini?
 
Mleta mada ni wakupuuzwa, tafuta gari lako ili kuepuka kero
 
Aisee hili basi ni noma now wamesimama porini wanakojoa dah [emoji2307] uchafuzi wa mazingira huu na yenyewe hayajali hata [emoji3]
 
Nafikiri uliokutana nao ni bahati mbaya tu hasa wanaotoka mjini Mwanza ni wastaarabu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] natoka nyumbani kwenda kujitegemea kuepuka mabalaa kama hayo nimechukua nyumba nzima dodoma kwa kodi kubwa tu ili kukimbia watu wa ovyo kama nyie so mimi sina maisha ya kifahari ila sipendi bugudha za wanadamu , na mnapoambiwa ukweli jaribuni kujifunza muwe na nidhamu sio mnawaka ukweli nilikuwa nasikia habari za ovyo za wasukuma leo ndio najionea mwenyewe [emoji3]
We binti njoo nikuoe nitatoa ng'ombe 70 maana usukumani tunapenda wanawake weupe kama wewe..


Remember you little bitch THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU OWN.
 
We binti njoo nikuoe nitatoa ng'ombe 70 maana usukumani tunapenda wanawake weupe kama wewe..


Remember you little bitch THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY OF YOUR'S.

[emoji3][emoji3] ngosha oga vizuri kabla kusafiri husikere wengine
 
[emoji3][emoji3] ngosha oga vizuri kabla kusafiri husikere wengine
Nakupuuza kuanzia sasa sikujua naongea na kilaza.


Remember you little bitch,,,THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU OWN.
 
Yawezekana mkuu huyu mana kapandia kati huko

Wanaotoka Mwanza wanajielewa ndio maana nimeandika ilikuwa ni bahati mbaya tu ......usiombe ukutane na wa ndani ndani huko looh utajikuta safari nzima unatema mate njiani.
 
Nakupuuza kuanzia sasa sikujua naongea na kilaza.


Remember you little bitch,,,THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU OWN.
Na anateseka na umaskini sio utani.
IMG_20220124_150610.jpg
 
Wanaotoka Mwanza wanajielewa ndio maana nimeandika ilikuwa ni bahati mbaya tu ......usiombe ukutane na wa ndani ndani huko looh utajikuta safari nzima unatema mate njiani.

[emoji3][emoji3][emoji3] ngoja tuishi nao ivyoivyo tu
 
Wanaotoka Mwanza wanajielewa ndio maana nimeandika ilikuwa ni bahati mbaya tu ......usiombe ukutane na wa ndani ndani huko looh utajikuta safari nzima unatema mate njiani.

[emoji3][emoji3][emoji3] ngoja tuishi nao ivyoivyo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom