Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF raha Sana mtu anaweza tukana anavoweza lakn akimwinywa pumbu, mnaanza sema wauaji wamerudiPunguzeni uchafu muoge [emoji3]
Wewe jamaa ni chizi unalazimisha maisha ya kifahari wakt wewe ni masikini,masikini siku zote inatakiwa mvumiliane,mfano nyumba ya kupanga wapangaji 20 choo kimoja,chumba kimoja mnalala watu 3 hadi 4,darasani watoto wa masikini wanakaa 80 hadi 90 shule za st kayumba,kwenye basi mnakaa 65 hadi 70....
Chakufanya tafuta pesa uepuke umasikini,ukiwa na pesa utakodi basi zima peke yako,si ulisikia yule dada wa morogoro? Utapanda ndege business class ule bata mamaeee na kikubwa zaidi utanunua range rover sport uendeshe mwenyewe unache kubanana mjinga wewe,
Kwahy we fala endelea kutafuta pesa ili uishi kifalme ila kama huna pesa kwasasa ishi kwa kuwavumilia masikini wenzako..maaana ukiwabangua kwenye basi utaenda ukalie kijiko kwa mama ntilie ambacho kamaliza kulia mwenzako na kikasuswa maji mara moja tu.
Remember this THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY.
Mbanguzi sana wewe masikini.
Mwenzako ananuka wakati na wewe mchaga hujui kuandika kiswahili,HUSITETEE maana yake Nini?Wote tunahangaika ndio mana hatutulii majumbani kwetu lakini swala la usafi lipo palepale husitetee upuuzi
We binti njoo nikuoe nitatoa ng'ombe 70 maana usukumani tunapenda wanawake weupe kama wewe..[emoji3][emoji3][emoji3] natoka nyumbani kwenda kujitegemea kuepuka mabalaa kama hayo nimechukua nyumba nzima dodoma kwa kodi kubwa tu ili kukimbia watu wa ovyo kama nyie so mimi sina maisha ya kifahari ila sipendi bugudha za wanadamu , na mnapoambiwa ukweli jaribuni kujifunza muwe na nidhamu sio mnawaka ukweli nilikuwa nasikia habari za ovyo za wasukuma leo ndio najionea mwenyewe [emoji3]
We binti njoo nikuoe nitatoa ng'ombe 70 maana usukumani tunapenda wanawake weupe kama wewe..
Remember you little bitch THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY OF YOUR'S.
Kama unaona huo n usumbufu siku moja panda na bas za kigoma ndio utajua hujui
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nakupuuza kuanzia sasa sikujua naongea na kilaza.[emoji3][emoji3] ngosha oga vizuri kabla kusafiri husikere wengine
Yawezekana mkuu huyu mana kapandia kati huko
Na anateseka na umaskini sio utani.Nakupuuza kuanzia sasa sikujua naongea na kilaza.
Remember you little bitch,,,THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY....SO BREAK UP THAT VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU OWN.
Matatizo ya akili Ni kweli yapo,wahi hospital bwana mdogo.[emoji3][emoji3] ngosha oga vizuri kabla kusafiri husikere wengine