Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Kero za abiria wa mabasi ya Mwanza

Status
Not open for further replies.
Wewe jamaa ni chizi unalazimisha maisha ya kifahari wakt wewe ni masikini,masikini siku zote inatakiwa mvumiliane,mfano nyumba ya kupanga wapangaji 20 choo kimoja,chumba kimoja mnalala watu 3 hadi 4,darasani watoto wa masikini wanakaa 80 hadi 90 shule za st kayumba,kwenye basi mnakaa 65 hadi 70....

Chakufanya tafuta pesa uepuke umasikini,ukiwa na pesa utakodi basi zima peke yako,si ulisikia yule dada wa morogoro? Utapanda ndege business class ule bata mamaeee na kikubwa zaidi utanunua range rover sport uendeshe mwenyewe unache kubanana mjinga wewe,

Kwahy we fala endelea kutafuta pesa ili uishi kifalme ila kama huna pesa kwasasa ishi kwa kuwavumilia masikini wenzako..maaana ukiwabangua kwenye basi utaenda ukalie kijiko kwa mama ntilie ambacho kamaliza kulia mwenzako na kikasuswa maji mara moja tu.

Remember u little bitch .....THERE IS NO NOBILITY IN POVERTY.

Mbanguzi sana wewe masikini.
Kinehe wantuzu!...ole chiiza ..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom