Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,066
- 1,194
- Thread starter
- #61
Na anateseka na umaskini sio utani.View attachment 2093908
[emoji3][emoji3] mkuu hii tangu 2020 namaliza chuo saivi dadaako ananililia nipo na kazi ya maana tu [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anateseka na umaskini sio utani.View attachment 2093908
[emoji1][emoji1][emoji1] unasema umemaliza chuo 2020 sio?[emoji3][emoji3] mkuu hii tangu 2020 namaliza chuo saivi dadaako ananililia nipo na kazi ya maana tu [emoji3]
Gentleman lazima atupie unyunyu kidogo.Ni kawaida ya wanaume wahangaikaji hio,nyie wanaume wa dar simnanukia zile body spray zimeandikwa 'fighting temptation.'
Mimi nataka nimsaidie kwa kumuoa maana mabinti Kama yeye tena na alivyo mweupe nitatoa ng'ombe sabini kwa baba yake ili niukomboe ukoo.Na anateseka na umaskini sio utani.View attachment 2093908
Wewe mtu wa Arusha na usukuma wapi na wapi?Sisi wasukuma wengi ni washamba. Tumeshazoea kushinda na mang'ombe tunaomba mtuzoee tu mkuu. Kadiri siku zinavyoenda tutajirekebisha.
Ila mwambie jamaa akae kwa kutulia aache kuhangaika kama kuku anaetafuta pakutagia. Mwambie "Ngosha, kaa kwa password".
Hahah muoe tu mkuu,utakua umemsaidia kupunguza umaskini kwny ukoo wake.Mimi nataka nimsaidie kwa kumuoa maana mabinti Kama yeye tena na alivyo mweupe nitatoa ng'ombe sabini kwa baba yake ili niukomboe ukoo.
[emoji1][emoji1][emoji1] unasema umemaliza chuo 2020 sio?
Hio thread hapo chini uliandika Feb,2020 na ukasema ulikua na miaka 4 umeshamaliza chuo ukawa unalia Lia tu na mtaa [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2093922
Umeshapanda Basi liliojaa wamasai au wamang'ati mzee?[emoji1][emoji1][emoji1]Sisi wasukuma wengi ni washamba. Tumeshazoea kushinda na mang'ombe tunaomba mtuzoee tu mkuu. Kadiri siku zinavyoenda tutajirekebisha.
Ila mwambie jamaa akae kwa kutulia aache kuhangaika kama kuku anaetafuta pakutagia. Mwambie "Ngosha, kaa kwa password".
[emoji1][emoji1][emoji1] umaskini Ni Kitu kibaya sana,wewe Hata puru utatoa tu ili upate kazi.Chuo kina levels boya we [emoji3] nimetoka bachelor nkaendelea masters now nimemaliza kaa kwa kutulia
Ukisafiri kutoka Mwanza to Musoma to Majita ndio utajua ujima bado upo duniani.Kuna watu huwa sio wastaarabu na ni wachafu tu by nature. Hivi unasafiri vipi safari ndefu hivyo hujaoga na kuvaa nguo safi!!
Hivi ma bus ya Zakaria bado yapo?Ukisafiri kutoka Mwanza to Musoma to Majita ndio utajua ujima bado upo duniani.
Abiria wanaongea kwa sauti kubwa, TV inaonesha nyimbo za kilugha, kinachooneshwa hakijalishi Kuna watoto au la, mtu anaweza akatukana Matusi ya nguoni kwa sauti anaona Sawa tu.
Wanakula hovyo na kuchafua gari, huyu anatafuna muwa, anayekula karanga, chini ya siti Kuna tenga la samaki wabichi wanatema kinoma, daa.....
Sana tu arif nimepiga route nyingi sana za Kiteto, Naberera, Orkesmet. Uzuri wa hizo route sio za kisharo unaenda ukiwa kikazi ukiingia ki sharo unatoka kama ulikuwa kwenye zizi.Umeshapanda Basi liliojaa wamasai au wamang'ati mzee?[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Safi sana erooooo,unaji adjust kulingana na mazingira.Sana tu arif nimepiga route nyingi sana za Kiteto, Naberera, Orkesmet. Uzuri wa hizo route sio za kisharo unaenda ukiwa kikazi ukiingia ki sharo unatoka kama ulikuwa kwenye zizi.
Nimewazoea hao ndugu zangu.
kwenye ndege watu wanakuwa kimya sana.Unajua kwanini? sababu njia nzima kila mtu anamuomba mungu afike salamaTabia ni tabia tu hata huko kwenye ndege wapo wanasumbua
[emoji1][emoji1][emoji1] umaskini Ni Kitu kibaya sana,wewe Hata puru utatoa tu ili upate kazi.View attachment 2093937
Eeeh huko safari zake zinajulikana. Tena usiombe upate siti za nyuma (ubalozini) ukishuka kwenye gari unakuwa kama msukule. Halafu unakuta umekaa na mama wakimasai ananuka mbolea kama ng'ombe. Shuka ina miaka haijafuliwa yeye mwenyewe hajaoga hajui lini mara ya mwisho.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Safi sana erooooo,unaji adjust kulingana na mazingira.