Kero za kudate mume wa mtu

Wanaume, watafika mbinguni kwa kutambaa, woiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwepo wa side chicks unasaidia sana kuimarisha Ndoa zetu

Wengi mliooa mnaweza kuwa mashahidi kwamba Ni Wanawake wachache sana wanaotoa tendo la Ndoa Kwa Waume zao Kila wanapohitajika

Wengi wanatoa hadi wapende kisa tayari ameolewa na kuwekwa ndani,

tena ukipewa mwisho kupiga viwili na ole wako ufululize kupiga Siku 7 za wiki

Utaambiwa nimechoka, unataka kunizeesha na sababu zingine

Pamoja na changamoto alizotaja mtoa mada, sioni sababu za msingi kwanini muingie kwenye mtego wake wa kuwahamasisha mtuache kisa tumeoa...

Maisha yenyewe ni haya haya, tuendelee kufurahia
 
Sema na yako,
Mchepuko unataka kujua mambo ya familia yangu ili iweje.
 
Hata ukipewa na mkeo 24/7.
Asili ya kuchepuka tumeumbiwa!!
 
Ndoani hakuna kukamiana mdau!

Au bado mgeni kwenye hii taasisi?
Hahaha.................sawa Mkuu, japo nina miaka mingi kidogo kwenye Ndoa

Suala la kupewa Kwa kubaniwa, hata nikiwa Kwa side chicks sipendi...

Unataka kunipea Kwa masharti unataka kumtunzia mwingine nani zaidi yangu 🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…