Afu hii daldala haina route maalumu a.k.a UDAKatika huo utafiti wa waume za watu,
Walikutafuna wangapi mpaka kukamilisha huo utafiti wako?
Kwa tabia hiyo ndio maana hujaolewa,unarukia waume za watu tu,
Namuonea huruma atakayekuja kuowa hilo Daladala analopanda kila abiria.
35 mbali sana mkuu. Umewapendelea mnoo.Wadada hawajui tu, ukishakuwa 35+ ni ngumu sana kupata wa peke yako. Otherwise usijihusishe na ngono, kitu ambacho hawawezi.
Sijawai kupaniki mimi ninajitambua na ni genius sema kipindi ulicho zani nime panic sikuwa tu seriousNinavyokuona unaweza pata heart attack!maana unajua sana kupanic🥲🥲pole,na relax kidogo
I tried once with a very rich man kabla sijaolewaMimi mmenishinda.
Waongo balaaaUtasikia "kwanini sikukujua wewe mapema"...
Basi mdada ukiambiwa hivyooo unajishauaa mwenyeweeeee....
Ni tamaa tu mkuu, ila ukiamua kutochepuka inawezakana. Yan kabla hujachukua maamuzi ya kuoa kula sana papuchi. Ukiamua kuoa tulia mzee. Sometimes unajiletea nuksi kwny life lako kutokana na hii michepuko.Kwa taarifa yako hatuwezi kuwa na mwanamke mmoja..hata nikikuoa ukawa mke bado nitatoka na mwanamke mwingine..
Na wana stress sanaa, Anataka akumiliki kama namba ya NIDA..Waongo balaaa
SanaaaNa wana stress sanaa, Anataka akumiliki kama namba ya NIDA..
Anataka uwe nae prke yake wakati haji kukuoaNa wana stress sanaa, Anataka akumiliki kama namba ya NIDA..
Aiseee yaani anatoa hadi bastola?huyo ana stress za kazi na za nyumbani kwake anataka kukuua wewe!I tried once with a very rich man kabla sijaolewa
Ila alitaka kunioa kama mke wa pili
Ni afande/polisi mkubwa sana nch hii
Hao kina mwafele hao
Sina hamu na hao viumbe nililetaga hadi uzi humu
Aisee waume za watu hawafai na akiwa polis/afande pita mbali wana stress za kazi alafu hawazipeleki kwa wake zao wanakuletea wewe
Alishanitoleaga bastola
Nakwambiaje ilokua mara moja na ilikua mwisho
Now am married 7yrs and still counting…
Nashukuru saa juu ya mume wangu pekee yangu
Kama ana wa nje staki hata kujua
Naomba tu uZima
Mke wako ana bahati sana.Ni tamaa tu mkuu, ila ukiamua kutochepuka inawezakana. Yan kabla hujachukua maamuzi ya kuoa kula sana papuchi. Ukiamua kuoa tulia mzee. Sometimes unajiletea nuksi kwny life lako kutokana na hii michepuko.
YaaniKukupotezea ramani tu!
Wote tunawapenda isipokuwa tunawapa kila mmoja nafasi yake kwa wakati wakeHey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!
2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu
3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii
NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?
Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa