Kero za kudate mume wa mtu

Kero za kudate mume wa mtu

Mgane fresh japo nae hana jema,ukipika pilau anaanza kulifananisha na la marehemu mkewe,....hivi Legend ina maana kweli hamna late 40z ambao ni ma senior bachelor kweli?
Upate kabisa senior bachelor yupo 45? Huyo hata kwa ndoa mtasumbuana tu, coz ameshazoea ubachela kiasi kwamba uwepo wako utampa shida sana.🤣
 
🤣🤣🤣ni kweli ulikuwa una date mdogo wake au uliamua kumchanganya adui?
Shauri zake
Mdogo wake alikuwa rafiki yangu sana ni kweli aliwahi kunitongoza na hatukufikia muafaka

Nikamwambia kwani hakukuambia?
Yaani alichanganyikiwa,,akaomba hayo mambo aliyoniambia nisimwambie mtu yeyote.

Hajawahi kurudia tena😂😂😂
 
Shauri zake
Mdogo wake alikuwa rafiki yangu sana ni kweli aliwahi kunitongoza na hatukufikia muafaka

Nikamwambia kwani hakukuambia?
Yaani alichanganyikiwa,,akaomba hayo mambo aliyoniambia nisimwambie mtu yeyote.

Hajawahi kurudia tena[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Anne, wee mkaliiii, khaaaah
 
Alikoma🤣🤣
Jibaba jitu Zima linanidanganya
Ooh yaani nikiwa na wewe ni binti mzuri sana mwenye heshima...yaani kwenye familia yenu wewe unanivutia zaidi una heshima sana
Eti ntakutunza kama mtoto wangu
Ntakupa kila kitu
Nyie mibaba mjiheshimu..

Mimi mtu anayenidanganya Kwa vitu ndio namuogopa zaidi Kwa sababu sishawishiki Kwa mivitu.
 
Jibaba jitu Zima linanidanganya
Ooh yaani nikiwa na wewe ni binti mzuri sana mwenye heshima...yaani kwenye familia yenu wewe unanivutia zaidi una heshima sana
Eti ntakutunza kama mtoto wangu
Ntakupa kila kitu
Nyie mibaba mjiheshimu..

Mimi mtu anayenidanganya Kwa vitu ndio namuogopa zaidi Kwa sababu sishawishiki Kwa mivitu.
Ha haaaa we hutaki kulelewa kama baby wake ule maisha?
 
Hey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!

2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu

3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii

NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi

KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?

Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
Jamani, yaani wewe Joannah ndo umepitia haya ya ku date na wanaume waliooa 😱siamini. I knew you are as innocent as a virgin😬sasa sijuwi nafanyaje maana mipango yangu kwako ndo ishaparaganyika
 
Wapo bwana!mimi mbona wangu wa peke yangu nimempata above 35,naye alikuwa senior bachelor hata sio mzee...mimi ni mmiliki halal natamba nae,usikatishe tamaa wadada we mzee
Kwamba yupo na wewe tu? Hahaha!! Labda kama nguvu zimepungua yupo 60s huko, ila kwa huyu mtanzania wa kawaida mwenye 40s na hela ya wese, mboga na ya kukaa kwa wallet ipo....🤣🤣
 
Ha haaaa we hutaki kulelewa kama baby wake ule maisha?
Sitaki kula ada za watoto wa watu aisee
Ni dhambi sana

Ukinipa hela ni sawa
Ila sina Cha kulipa aiseee
Yaani sina malipo...

Jamani mijibaba mnajileta
Mwingine anakuja na fix za kukusaidia biashara..nisaidieeni tu na Mungu awabariki ila mtanisaidia kama mdogo wenu.
Malipo ni maombi Kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom