NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
0Y00000OOOOOooooooooo.John Pombe Magufuli - Kura 12,516,252
Tundu Antipas Lissu - Kura 1,933,271
John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
ITV
Imeisha hiyo!!!!
Hongera sana Comred💚💚💛💛💚💚0Y00000OOOOOooooooooo.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
JPM.
Chuma kimerudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe, Msigwa, Lema, Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida!Wapumbavu sana hawa wanaimba tudumishe amani, tunadumisha vipi amani bila ya kuwepo uhuru na haki ya kweli. Wamefanya udhalimu wa aina mbali mbali kwa miaka mitano ikiwemo mauaji na bado wanaimba tudumishe amani.
Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe, Msigwa, Lema, Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida!
Naona umeamua ujitokeze kwa kujifariji baada ya kupata majozi makubwaKila la heri
Nimecheka sanaTamko la Lissu la kuingia barabarani limeishia wapi [emoji16][emoji16][emoji16]...
Au Mbowe ndio anaenda kukazia tamko, wakimaliza wao ndio wakae mbele kwenye maandamano Jussa atapata kampani at least.
View attachment 1616166
Tunaomba direction jinsi ya kufika makao makuu .... .... .....
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tuna hamu kubwa ya kuja kuwacheka chama cha mashoga
khe khe he he heeeeeeeeeeeeeeeeee
Tundu anasema yeye kashafanya kazi yake amemaliza na ameshampa bobu kazi ya kisubmit malalamiko ICC, sasa anawashauri watanzania waingie barabarani ili ICC wapate ushahidi😃😁Tamko la Lissu la kuingia barabarani limeishia wapi 😁😁😁...
Au Mbowe ndio anaenda kukazia tamko, wakimaliza wao ndio wakae mbele kwenye maandamano Jussa atapata kampani at least.
Makao makuu ya chama Chenye umri wa miaka 28 na nusuView attachment 1616166
Tunaomba direction jinsi ya kufika makao makuu .... .... .....
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tuna hamu kubwa ya kuja kuwacheka chama cha mashoga
khe khe he he heeeeeeeeeeeeeeeeee
Duh UFON VPN imekutoa mafichoniee[emoji3]
Afu mataga watajua hawajuiAwamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.
Kunatetezi Kibaraka jana alionekana Namanga navuka mpaka kwenda Kenya na watz wakamkaushia tu. Vipi dikteta2020 ni kweli hayo?Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Mbona Kibaraka wenu ameonekana anavuka mpaka Namanga na hakuna aliyekuwa na time naye??Nina wasiwasi kama huo mkutano utafanikiwa kufanyika, vifaru vitalizingira jengo lote la makao makuu ya Chadema. Tanzania mpya ya kijani.
Sio hoja za kuimarisha Haki??Tunasubiri hoja za kuimarisha amani na umoja wa kitaifa.
Mengine ni kujipikia matatizo