Hao ni wasanio tu wasikupe tabu.Mbowe akienda Kia anapanda ATC
Aende wapi! Kashindwa kwenda hapo Kurasini Askari wake Tisa (9) walio uawa Mkiru yeye anaenda kufungua zile expansion joints pale UDSM?
Hakika ingekuwa JK au watangulizi wengine kama CiC hata kama wangekuwa wagonjwa wangeahirisha zoezi lile.
Lini rais aliongea kikabila ambacho Watanzania walengwa hawakuelewa? Akiongea Kiingereza ni sawa au sivyo?
Ni vigumu sana kumsusia au kumnunia aliyenacho...lingine Jiwe asijisahau na kuanza kuzungumza KIKABILA.
..hizi ni sherehe za kitaifa, pamoja na kwamba zinafanyika kwao Mwanza.
..hizo ni ndege za magufuli siyo za waTz.
..zingekuwa za waTz zisingeandikwa campaign slogan za magufuli.
Hata wakizikashifu haiondoi maana kuwa hata wao ni zao. Fedha zilizonunulia hata kama kwa utaratibu mbaya bado zao, gharama za uendeshaji bado zao nk.Sasa kwenda Mwanza kutoka Dar wanakofanya kikao watasafiri na ndege zipi? Zile wanazozikashifu au watatumia ungo? Hiki chama kinafurahisha sana, yaani hata sherehe kubwa kama hizi bila figisu figisu za kisiasa haiwezekani. Tanzania kwanza mengine baadaye.
Wakija chadema watakewa kata funua na operation sangara,usiwe na hofu..hizo ni ndege za magufuli siyo za waTz.
..zingekuwa za waTz zisingeandikwa campaign slogan za magufuli.
..kuna wakati huyu mzee anajiona ni raisi wa kule, na wakati mwingine raisi wa waTz wote.
..mbona nyerere, mwinyi, mkapa, kikwete, hawakuwahi kuongea lugha za makabila yao?
Sio lazima kila msiba aende rais. Kama mnampenda sana JK mkaribisheni mkanywe naye chai.
We ile lugha ya kuchungia ng'ombe anayochanganya Mara nyingi unadhani kila mtu anamuelewa?Lini rais aliongea kikabila ambacho Watanzania walengwa hawakuelewa? Akiongea Kiingereza ni sawa au sivyo?
Hata wakizikashifu haiondoi maana kuwa hata wao ni zao. Fedha zilizonunulia hata kama kwa utaratibu mbaya bado zao, gharama za uendeshaji bado zao nk.
Kwanza wanachama na wapenzi wa Chadema ndio wachangiaji wakubwa wa kodi maana ndio wasomi wengine wenye kazi nzuri, biashara nzuri na kubwakubwa tofauti na CCM ambayo wapenzi wake na wanachama wengi hawana elimu, masikini na wazee.
(Hiyo sisemi Mimi lakini ni tafiti ya Twaweza)
Nyerere yupi? Mbona alikuwa anaongea kizanaki tu, hata kigogo alikuwa anakimanya wacha uongo. Laba useme hao wezi waliofilisi nchi hii kina Mkapa na JK waliouza mashirika ya umma wakati wao.
We ile lugha ya kuchungia ng'ombe anayochanganya Mara nyingi unadhani kila mtu anamuelewa?
We wengine wanakula nyama kila siku lakini hawajawahi kumuona huyo ng'ombe
..hapana.
..Nyerere alikuwa haongei Kizanaki kwa namna hii ambayo Magufuli anazungumza Kisukuma.
..Nyerere alikuwa akitoa "stori" au akitumia misemo ya Kizanaki alikuwa akitoa tafsiri ya Kiswahili hapo hapo.
..Magufuli anaongea Kisukuma na kuwatenga waTz wengine wasijue Raisi wao ameongea nini. That never happened wakati wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ni vigumu sana kumsusia au kumnunia aliyenacho.
At least unakubali alikuwa anaonga Kizanaki lakini sasa ndio unatolea ufafanuzi ...... ....... .... BTW wakati ule mwalimu alikuwa ana-deal na watu wengi ambao sio wasomi leo hii baada ya miaka 60 kwa nini JPM asiongee lugha anazozifahamu alikuwa anaongea kigogo few weeks ago, alipokuwa Mtwara aliongea kimakonde what the hell do you people want a president to do. Tanzanians wanamuelewa wewe na chama chako mnampinga ati kisa kisukuma hamkimanyi jifunzeni. BTW hakuna Mtanzania anayebaguliwa ubaguzi upo kwenye chama cha Chadema.
Mkuu huyu Jamaa wa Pale Magogoni (JPM) hajui lugha nyingine yeyote ya kitaifa na kimataifa zaidi ya vilugha (vernacular) hasa kisukuma. Sasa unategemea nn? Hana option nyingine ya kujimwambafai zaidi ya kisukuma.Nyerere alikuwa haongei Kizanaki kwa namna hii ambayo Magufuli anahutubia Kisukuma.
Ulomwengu upi mkuu? Labda kama kuna ulimwengu wa chuki, visasi, utekaji na mauajiJPM anafanya kazi ambayo inailetea heshima Tanzania kila mahali ulimwenguni.
Mkuu huyu Jamaa wa Pale Magogoni (JPM) hajui lugha nyingine yeyote ya kitaifa na kimataifa zaidi ya vilugha (vernacular) hasa kisukuma. Sasa unategemea nn? Hana option nyingine ya kujimwambafai zaidi ya kisukuma.
Ndiyo maana ziara zake 90% ni huko huko kanda ya ziwa.
Ulomwengu upi mkuu? Labda kama kuna ulimwengu wa chuki, visasi, utekaji na mauaji