Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 650
- 1,016
Hawa jamaa kuna kitu wanakitana sio bure,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu "JIWE" limeanza kupata joto halisi la moto. Wewe hilo hujaliona?jambo jema lazima lipongezwe but why now
Waziri Kange Lugola, AGP Silo, Mkuu wa mkoa wa Mwanza na Mkuu wa Polisi wa mkoa wa Mwanza na vyombo vingine vyote vya Dola vinavyo husika, please! kuweni makini na kundi hili la CHADEMA, hawaji bure watakuwa kuna kitu wamekitengeneza ambacho kitawasaidia wao kuuonyesha ulimwengu jinsi gani serikali yatu ni serikali ya kidikteta inayo wavunjia haki wapinzani. Wanataka pics na clips za damu ya watanzania inayo mwagika ili wapate sababu ya kuuambia ulimwengu; "mnaona sasa! Tuliwaambia kuwa huyu mtu ni Dikteta," ili wapate sababu za kumsulubu Rais wetu in The Hague.Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
View attachment 1284723
Ahadi yangu kwako ni moja.Kudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Wewe umelewa, au umevuta sigara kubwa?Nafikiri watanzania wenzangu mmeyasikia ya Malim Seif wa NCC Wazalendo aliyo yatoa hivi juzi juzi ya kuhusiana na wizara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Alli. Hawa watu wanatafuta kila njia ili kutuchonganisha sisi ili tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hawako tayari kushindwa. Wako radhi tukose wote.
Kasome maandishi ya Ben Sa8 ndiyo utajua huyu kichwa korosho Hanna kitu. Unadhani kwann Ben Sa8 hajulikani alipo mpk leo? Alimuumbua kichwa korosho
..Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, kote huko ni jamii moja.
Duh! Mkuu huo uamuzi nakushauri uutupilie mbali, maana hali si nzuri. Unaweza ukawapa familia yako wakati mgumu kimaamuzi, washindwe kuamua kukaa matanga ama waendelee kusubiri.Kudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Uwezo wako wa akili ni mdogo sana! Hujaelewa nasema nini? Duh! Kazi kweli!
Hata wakizikashifu haiondoi maana kuwa hata wao ni zao. Fedha zilizonunulia hata kama kwa utaratibu mbaya bado zao, gharama za uendeshaji bado zao nk.
Kwanza wanachama na wapenzi wa Chadema ndio wachangiaji wakubwa wa kodi maana ndio wasomi wengine wenye kazi nzuri, biashara nzuri na kubwakubwa tofauti na CCM ambayo wapenzi wake na wanachama wengi hawana elimu, masikini na wazee.
(Hiyo sisemi Mimi lakini ni tafiti ya Twaweza)
Ya kuua.JPM ana kazi moja tu
Ingizo jipya lililotumwa kumchafua Mbowe , Joined 4 September 2019Nimeshangaaa sana tena sana hawa jamaaa siku hizi wanabuni tu mambo yao ya kipuuzi kabisa yaaani Sherehe za Uhuru zilizopo kwa mjibu wa katiba kuhudhuria mpaka napo muitishe mkutano mkuu nani mshauri wa hiki Chama nani amekiloga hiki Chama dah jamani inashangaza na kusononesha sana kakikundi ka watu wachache eti kamati kuu kwa pamoja poleni wafuasi wa hawa jamaaa wanawaaabisha sn hata majanga ya kitaifa yakiwa yanatokea kamati kuuu isiache kukaaaa
kweli ndani ya chadema watu haziwatoshi mkichwa sijui wamelogwaKwanza kajifunze kuandika.
Pili kuna wapuz wenzio walikuja wameshindwa na wewe utashimdwa.
Kwa hiyo basi Moshi, Arusha, Tanga na Mara ni jamii moja? Wacha ukabila ni aibu!
Naona Upinzani umeanza kupata akili Sasa. Mkiendelea hivi hata Sisi wananchi Wapiga kura Tutaanza kupata Imani na nyie. Siyo utoto wenu wa kususa kila kitu Hadi kwenye vitu vya mhimu.Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
View attachment 1284723
Mkuu kwani ukiacha kuwa Mchumia tumbo wa vyama Ukaandika Kama Mtanzania tu huwezi kueleweka.Jiwe halikawii kuahirisha sherehe!
Usitishe watu we taahi. , siku pekee ambayo Watanzania hawaruhusiwi kuvaa sare za vyama ni siku za uchaguzi tuu!. Siku nyingine zote, rukhsa kuvaa sare za vyama, tena kwa umasikini huu uliotopea, watu wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea wa kutupwa, kuna wengine sare za vyama ndizo nguo pekee za kuulambia walizo nazo na nimezishuhudia hadi siku ya Krismasi, hivyo wenye sare zenu, ulambieni nazo bila kuogopa chochote!.Msidanganyike nyie washamba kuvaa sare za vyama vyenu mtanyea ndoo hatakuwepo wa kuwasaidia