Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

jambo jema lazima lipongezwe but why now
Kwa sababu "JIWE" limeanza kupata joto halisi la moto. Wewe hilo hujaliona?
Fuatilia kwa karibu utaona dalili hizo.

Jiwe likipata joto kali hufanyaje?
 
Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.

View attachment 1284723
Waziri Kange Lugola, AGP Silo, Mkuu wa mkoa wa Mwanza na Mkuu wa Polisi wa mkoa wa Mwanza na vyombo vingine vyote vya Dola vinavyo husika, please! kuweni makini na kundi hili la CHADEMA, hawaji bure watakuwa kuna kitu wamekitengeneza ambacho kitawasaidia wao kuuonyesha ulimwengu jinsi gani serikali yatu ni serikali ya kidikteta inayo wavunjia haki wapinzani. Wanataka pics na clips za damu ya watanzania inayo mwagika ili wapate sababu ya kuuambia ulimwengu; "mnaona sasa! Tuliwaambia kuwa huyu mtu ni Dikteta," ili wapate sababu za kumsulubu Rais wetu in The Hague.

Rais Magufuli mambo unayo yafanya kwa watanzania hivi sasa, haijawahi kutokea katika Third World Country kama yetu. Tukifanikiwa sisi tutakuwa mfano kwa nchi nyingine za Afrika na hivyo kuwafanya wazungu waonekane kuwa ni kichaka.

Juhudi hizo unazo zifanya Mweshimiwa wazungu haziwapendezi hata mara moja. Umekuwa ni tishio kwao. Na ndiyo maana wanatafuta kila njia kuzuia ili sisi tusipate maendeleo unayo kusudia. Na kwa vile tuna watu miongoni mwetu ambao maslahi yao ni bora kuliko maendeleo ya watanzania wenzao wako tayari kuwaridhisha mabeberu wao kwa kuwatumikia kile wanacho kitaka ili wao nao wapate kile wanacho kizarajia, nacho ni madaraka. Kwa uroho wao wa madaraka wako tayari kuiuza nchi yetu na sisi pamoja.

Hawa ndiyo akina Mobutu Sese Seko wa Zaire na Blaise Compaoré wa Burkina Faso wanao kula njama na Mabeberu ili kuwaondoa Marais wa nchi zao wanao fanya kazi nzuri ili wao washike madaraka na hivyo kukamilisha malengo ya mabeberu wao.

Nafikiri watanzania wenzangu mmeyasikia ya Malim Seif wa NCC Wazalendo aliyo yatoa hivi juzi juzi ya kuhusiana na wizara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Alli. Hawa watu wanatafuta kila njia ili kutuchonganisha sisi ili tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hawako tayari kushindwa. Wako radhi tukose wote.

Watanzania tumlinde Rais wetu kwa hali na mali. Tukichfuana wenyewe kwenyewe kwa visenti watakavyo tupa, tusifikiri tutakuwa salama. Na hakuna nchi ambayo iko tayari kutupokea sisi kama wakimbizi. Wazungu wana hali mbaya sana!
 
Kudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Ahadi yangu kwako ni moja.

Ukifanikiwa kuvuka Dodoma na kuelekea Singida na Tabora kama umo kwenye usafiri wa ardhini, Tsh milioni moja ni haki yako toka kwangu. Maxence anao uwezo wa kunikabidhi kwako unidai.

Na kama unatumia usafiri wa anga, na hukuvaa shati juu ya hiyo T-shirt yako, ninakuhakikishia hutatoka nje ya uwanja wa ndege Mwanza. Ahadi hiyo hiyo kwako itabaki imesimama.
 
Nafikiri watanzania wenzangu mmeyasikia ya Malim Seif wa NCC Wazalendo aliyo yatoa hivi juzi juzi ya kuhusiana na wizara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Alli. Hawa watu wanatafuta kila njia ili kutuchonganisha sisi ili tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hawako tayari kushindwa. Wako radhi tukose wote.
Wewe umelewa, au umevuta sigara kubwa?
Nilitaka kukujibu hoja kwa hoja, lakini hustahili kupewa heshima hiyo.
 
Kasome maandishi ya Ben Sa8 ndiyo utajua huyu kichwa korosho Hanna kitu. Unadhani kwann Ben Sa8 hajulikani alipo mpk leo? Alimuumbua kichwa korosho

Ben Sa8 aliyeua India au yupi? Mbona humuulizi Mbowe aliyekuwa mfanyakazi wake? vipi ya TL na Chacha Wangwe mbona hamsemi? DSM Uni ina hadhi ya kimataifa kwa taarifa yako tu kama hujui. Hizi porojo tumewaachia nyinyi Chadema. JPM ana kazi moja tu ya kuendeleza nchi hii kwa faida ya WTZ wote.
 
Kudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Duh! Mkuu huo uamuzi nakushauri uutupilie mbali, maana hali si nzuri. Unaweza ukawapa familia yako wakati mgumu kimaamuzi, washindwe kuamua kukaa matanga ama waendelee kusubiri.
 
Uwezo wako wa akili ni mdogo sana! Hujaelewa nasema nini? Duh! Kazi kweli!

Angalia hapa chini ulivyosema.

Hata wakizikashifu haiondoi maana kuwa hata wao ni zao. Fedha zilizonunulia hata kama kwa utaratibu mbaya bado zao, gharama za uendeshaji bado zao nk.
Kwanza wanachama na wapenzi wa Chadema ndio wachangiaji wakubwa wa kodi maana ndio wasomi wengine wenye kazi nzuri, biashara nzuri na kubwakubwa tofauti na CCM ambayo wapenzi wake na wanachama wengi hawana elimu, masikini na wazee.
(Hiyo sisemi Mimi lakini ni tafiti ya Twaweza)

Tujuze basi ulikuwa unachema nini? Wabaguzi wakubwa na hakuna fact hata moja ni kuropoka tu kama toto tundu lililokosa lawalawa then unawasingizia Twaweza.
 
Unajipendekeza mpk unakera ndugu, utakuwa siyo mzima wewe.
 
Nimeshangaaa sana tena sana hawa jamaaa siku hizi wanabuni tu mambo yao ya kipuuzi kabisa yaaani Sherehe za Uhuru zilizopo kwa mjibu wa katiba kuhudhuria mpaka napo muitishe mkutano mkuu nani mshauri wa hiki Chama nani amekiloga hiki Chama dah jamani inashangaza na kusononesha sana kakikundi ka watu wachache eti kamati kuu kwa pamoja poleni wafuasi wa hawa jamaaa wanawaaabisha sn hata majanga ya kitaifa yakiwa yanatokea kamati kuuu isiache kukaaaa
Ingizo jipya lililotumwa kumchafua Mbowe , Joined 4 September 2019

Kashindwa Magufuli mwenye majeshi yote ndio uweze wewe Kapuku mnuka kikwapa ?
 
Kwa hiyo basi Moshi, Arusha, Tanga na Mara ni jamii moja? Wacha ukabila ni aibu!

..u can call me whatever you want.

..lakini hiki anachofanya Magufuli, kuzungumza lugha ya kabila lake ktk ziara ya kiserikali ni UKABILA.
 
Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki ktk sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.

View attachment 1284723
Naona Upinzani umeanza kupata akili Sasa. Mkiendelea hivi hata Sisi wananchi Wapiga kura Tutaanza kupata Imani na nyie. Siyo utoto wenu wa kususa kila kitu Hadi kwenye vitu vya mhimu.

Safi Sana Mh. Mbowe kwa Kazi nzuri Ni halali Uendelee kuwa Mwenyekiti Wa CDM.

See you soon today CCM kirumba Mwanza
 
Jiwe halikawii kuahirisha sherehe!
Mkuu kwani ukiacha kuwa Mchumia tumbo wa vyama Ukaandika Kama Mtanzania tu huwezi kueleweka.

Watanzania punguzeni Mambo na chuki binafsi hazisaidii.
 
Msidanganyike nyie washamba kuvaa sare za vyama vyenu mtanyea ndoo hatakuwepo wa kuwasaidia
Usitishe watu we taahi. , siku pekee ambayo Watanzania hawaruhusiwi kuvaa sare za vyama ni siku za uchaguzi tuu!. Siku nyingine zote, rukhsa kuvaa sare za vyama, tena kwa umasikini huu uliotopea, watu wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea wa kutupwa, kuna wengine sare za vyama ndizo nguo pekee za kuulambia walizo nazo na nimezishuhudia hadi siku ya Krismasi, hivyo wenye sare zenu, ulambieni nazo bila kuogopa chochote!.
P
 
Back
Top Bottom