Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Karibu Mwanza kamandaIngizo jipya lililotumwa kumchafua Mbowe , Joined 4 September 2019
Kashindwa Magufuli mwenye majeshi yote ndio uweze wewe Kapuku mnuka kikwapa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Mwanza kamandaIngizo jipya lililotumwa kumchafua Mbowe , Joined 4 September 2019
Kashindwa Magufuli mwenye majeshi yote ndio uweze wewe Kapuku mnuka kikwapa ?
Hii siku si ya kulosa macho na masikio yataelekzwa Kwa Kamanda wa Anga Mh Freema MboweKamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki katika sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
View attachment 1284723
Wanafikaga ujerumani kwa Kubembwa tu sio jitihada zao.Acha ufala wewe. Ulisoma Ujerumani kwa akili ipi? Halafu soma aya ya pili kutoka mwisho wa huu utumbo wako. Mbona huyu ba..sha wako anahubiri ubaguzi wa wazi na kuwanyanyasa wengine kisiasa. Hii ndiyo amani unayoijua? Wewe kwako kuwa na amani ni kutokuwepo na vita? Sijui hata Ujerumani ulifikaje. Ipo siku tu wewe mtetea utataga.
Kamanda Mbowe anatisha sana mbona mnaanza kuteteneja si mna majeshi na mabomu?Kwanza tunashukuru kwa kuunga mkono juhudi, pili sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za kitaifa zimeisha? Tatu hawa jamaa wasipewe maiki wasalimie watambulishwe na kupunga mkono tuu hawaaminiki hawa miaka yote wazingue leo wamegundua nini.
Mimu sijawahi kuooteza muda kusikiliza hotuba yoyote ya huyu Bwana, maama.majya hamna kitu. Itakuwa mara ya kwanza kuvuta attention tangu. Because of Brilliant H.E FREEMAN MBOWE.Tangu mwaka 2015 sijawahi sikiliza hotuba yoyote ya vimaadhimisho vyovyote naonaga short crip mitandaoni ila tarehe 9/12/2019 nitapika kahawa chupa nzima na kashata zangu najifungia ntaangalia kila hatua .
Halafu kuna mahali amesema alisoma Ujerumani. Mtu hajui kutofautisha AGP (Silo) na (IGP) Sirro anabaki kubwekabweka tu. Ndio hao ccm inaendelea kuwepo kwasababu yao.Unajipendekeza mpk unakera ndugu, utakuwa siyo mzima wewe.
Makonda ndio alitekeleza kwa Amrit ya mzee babaBen Sa8 aliyeua India au yupi? Mbona humuulizi Mbowe aliyekuwa mfanyakazi wake? vipi ya TL na Chacha Wangwe mbona hamsemi? DSM Uni ina hadhi ya kimataifa kwa taarifa yako tu kama hujui. Hizi porojo tumewaachia nyinyi Chadema. JPM ana kazi moja tu ya kuendeleza nchi hii kwa faida ya WTZ wote.
Waziri Kange Lugola, AGP Silo, Mkuu wa mkoa wa Mwanza na Mkuu wa Polisi wa mkoa wa Mwanza na vyombo vingine vyote vya Dola vinavyo husika, please! kuweni makini na kundi hili la CHADEMA, hawaji bure watakuwa kuna kitu wamekitengeneza ambacho kitawasaidia wao kuuonyesha ulimwengu jinsi gani serikali yatu ni serikali ya kidikteta inayo wavunjia haki wapinzani. Wanataka pics na clips za damu ya watanzania inayo mwagika ili wapate sababu ya kuuambia ulimwengu; "mnaona sasa! Tuliwaambia kuwa huyu mtu ni Dikteta," ili wapate sababu za kumsulubu Rais wetu in The Hague.
Rais Magufuli mambo unayo yafanya kwa watanzania hivi sasa, haijawahi kutokea katika Third World Country kama yetu. Tukifanikiwa sisi tutakuwa mfano kwa nchi nyingine za Afrika na hivyo kuwafanya wazungu waonekane kuwa ni kichaka.
Juhudi hizo unazo zifanya Mweshimiwa wazungu haziwapendezi hata mara moja. Umekuwa ni tishio kwao. Na ndiyo maana wanatafuta kila njia kuzuia ili sisi tusipate maendeleo unayo kusudia. Na kwa vile tuna watu miongoni mwetu ambao maslahi yao ni bora kuliko maendeleo ya watanzania wenzao wako tayari kuwaridhisha mabeberu wao kwa kuwatumikia kile wanacho kitaka ili wao nao wapate kile wanacho kizarajia, nacho ni madaraka. Kwa uroho wao wa madaraka wako tayari kuiuza nchi yetu na sisi pamoja.
Hawa ndiyo akina Mobutu Sese Seko wa Zaire na Blaise Compaoré wa Burkina Faso wanao kula njama na Mabeberu ili kuwaondoa Marais wa nchi zao wanao fanya kazi nzuri ili wao washike madaraka na hivyo kukamilisha malengo ya mabeberu wao.
Nafikiri watanzania wenzangu mmeyasikia ya Malim Seif wa NCC Wazalendo aliyo yatoa hivi juzi juzi ya kuhusiana na wizara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Alli. Hawa watu wanatafuta kila njia ili kutuchonganisha sisi ili tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hawako tayari kushindwa. Wako radhi tukose wote.
Watanzania tumlinde Rais wetu kwa hali na mali. Tukichfuana wenyewe kwenyewe kwa visenti watakavyo tupa, tusifikiri tutakuwa salama. Na hakuna nchi ambayo iko tayari kutupokea sisi kama wakimbizi. Wazungu wana hali mbaya sana!
Pia watanzania wangeshirikishwa kwenye manunuzi kwa sasa hatujui chochote kuhusu ndege zaidi ya kuziona tu. Alafu unasema ndege za watanzania?..hizo ni ndege za magufuli siyo za waTz.
..zingekuwa za waTz zisingeandikwa campaign slogan za magufuli.
Chadema mtavuruga sherehe Jon Hatakua na amani kbs Hii ni Fuji isiyoumizaKujenga reli sgr na ndege nilazima isemwe kila hotuba hata ya mazishi?
Unasikitisha sana!Mnajiaibisha kwa hiyo watanzania wote wakae kamati kuu kuhudhuria sherehe za Uhuru zilizopo kwa mujibu wa katiba??!
Sosa’s ni sayansi na sayansi ndo imetumika hapo.....naaamini rais wetu atashinda hili katibu I kubwa kabisa katika maisha yakeHili ni bandiko la mwanaume mwenye tabia za kike.
mejaaa late hawa watu wanadhani cdm ninkamati kuu kuna wapenda democrasi zaidi ya 7milionUnasikitisha sana!
Kama anavyo nyea ndo Al Bashir ambaye naye alikuwa anawapeleka wenzake kunyea ndoo.Msidanganyike nyie washamba kuvaa sare za vyama vyenu mtanyea ndoo hatakuwepo wa kuwasaidia
Hiyo Tsheti inabidi uvae ndani ya nguo nyingine then ukifika ndani inavua ya nje.Kuna mtindo wa wanausalama kuzuia watu getiniKudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Wewe umelewa, au umevuta sigara kubwa?
Nilitaka kukujibu hoja kwa hoja, lakini hustahili kupewa heshima hiyo.
Wapiga kura wepi wa kuwa na imani? Kama wangekuwa wachache sanduku za kura zingekuwa zinaibiwa na kuporwa? Mbona mnadanganyika sana na propaganda za CCM kuwa ndio wanaopata kura za wapiga kura? Kwa nini wanatumia hila kama wanakubalika?Naona Upinzani umeanza kupata akili Sasa. Mkiendelea hivi hata Sisi wananchi Wapiga kura Tutaanza kupata Imani na nyie. Siyo utoto wenu wa kususa kila kitu Hadi kwenye vitu vya mhimu.
Safi Sana Mh. Mbowe kwa Kazi nzuri Ni halali Uendelee kuwa Mwenyekiti Wa CDM.
See you soon today CCM kirumba Mwanza