Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Jiwe halikawii kuahirisha sherehe!
Sijui ndio nyinyi mlio kuwa mnaponda humu rais kupeleka maadhimisho haya mwanza?
Mnacheza makida makida tuu kugeuzwa geuzwa Kama watoto. Hata msimamo hamna
 
Pata picha Mbowe awe moshi kutokana na hadhira aliyopo kisha aongee kichaga. Halafu ulete mrejesho.
Kama akiwa Mbeya anaongea kinyakyusa, akiwa Kigoma, mwanza, Dodoma na kwingineko anaongea hizo zao hapo hapana habari za pata Picha. Hivi mbona mnaangaika na hoja za kipuuzi kiasi hiki?Yaani Magufuli kuwa mwanza au Chato kutupia tumaneno tuwili tu basi shida?
 
Ili kudhibiti hili la kunangwa ilibidi wanachadema uwanjani wawe wengi sana ili akizidisha majungu naye azomewe kwa nguvu zote huenda ataacha.Akiongea vizuri wamshangilie akibugi wapige buuuuuuuh
Mkuu nenda wewe ukazomee. Ukiwa nyuma ya keyboard rahisi sana kutema pumba zako.
 
Mimu sijawahi kuooteza muda kusikiliza hotuba yoyote ya huyu Bwana, maama.majya hamna kitu. Itakuwa mara ya kwanza kuvuta attention tangu. Because of Brilliant H.E FREEMAN MBOWE.
Ati brilliant, [emoji16][emoji23][emoji3]
Nyumbu bhana
 
Kama akiwa Mbeya anaongea kinyakyusa, akiwa Kigoma, mwanza, Dodoma na kwingineko anaongea hizo zao hapo hapana habari za pata Picha. Hivi mbona mnaangaika na hoja za kipuuzi kiasi hiki?Yaani Magufuli kuwa mwanza au Chato kutupia tumaneno tuwili tu basi shida?

Wala hatuhangaiki, yale mnayosema madogo yakifanywa na rais, ndio hayo hayo mnakesha nayo kuwa ni uchaga yakifanywa na wengine.
 
Ndio maana mimi siwezi kuandamana kwa ajili ya maslahi ya wanasiasa ni upumbavu tu.

CDM imefanyiwa figisu za kufa mtu na serikali kwny uchaguzi wa serikali za mitaa lkn eti bado leo inajipendekeza kwa serikali hio hio eti tunashiriki sherehe za uhuru sijui nini na kukaa jukwaa kuu na hao hao wanaowalalamikia kila siku utasikia eti sisi CDM tunataka mshikamano wa Kitaifa sijui nini.

Mnashindwa kua na misimamo migumu sio?Na mimi nasema CCM iwaburuze mpk mwisho wa dunia na police itembeze kichapo mpk akili zikae sawia.
 
CHADEMA ndani ya hizi wiki mbili wamefanya makosa mengi sana ya kimkakati nafikiri kuna shida sehemu, japo wafuasi wao hawalioni nimeona hata humu kuna watu nilikuwa nawaona kama fikra huru kumbe wanafuata tu kinachosemwa na viongozi ila wacha tuone muda utaongea japo nimehudhunishwa sana na yaliyotokea. Kushiriki uhuru nikama kumpa endorsement kiongozi ulimpinga kwa miaka yote ya uongozi wake ajabu mwaka wake wa mwisho unamuunga mkono wacha tuone
Ndio maana mimi siwezi kuandamana kwa ajili ya maslahi ya wanasiasa ni upumbavu tu.

CDM imefanyiwa figisu za kufa mtu na serikali kwny uchaguzi wa serikali za mitaa lkn eti bado leo inajipendekeza kwa serikali hio hio eti tunashiriki sherehe za uhuru sijui nini na kukaa jukwaa kuu na hao hao wanaowalalamikia kila siku utasikia eti sisi CDM tunataka mshikamano wa Kitaifa sijui nini.

Mnashindwa kua na misimamo migumu sio?Na mimi nasema CCM iwaburuze mpk mwisho wa dunia na police itembeze kichapo mpk akili zikae sawia.
 
Wasiende wamuachie Jiwe li sherehe lake na kina Kawe Alumni, akose wa kuhutubia.
 
CHADEMA ndani ya hizi wiki mbili wamefanya makosa mengi sana ya kimkakati nafikiri kuna shida sehemu, japo wafuasi wao hawalioni nimeona hata humu kuna watu nilikuwa nawaona kama fikra huru kumbe wanafuata tu kinachosemwa na viongozi ila wacha tuone muda utaongea japo nimehudhunishwa sana na yaliyotokea. Kushiriki uhuru nikama kumpa endorsement kiongozi ulimpinga kwa miaka yote ya uongozi wake ajabu mwaka wake wa mwisho unamuunga mkono wacha tuone

Uko sawa kabisa mkuu,sielewi yaani kweli kamati kuu watu wote wale wanaweza kufanya maamuzi kijinga kijinga namna hii?

Naona wameamua kumu-endorse mkuu kimakusudi/kimkakati kabisa yaani pamoja na figisu zote anazowafanyia,sometimes nahisi kuna watu ndani ya CDM tunawaona ni makamanda kumbe wako kwa kazi maalumu.

Ila muda utaongea tu mkuu.
 
Wasiende wamuachie Jiwe li sherehe lake na kina Kawe Alumni, akose wa kuhutubia.

Ndo wameshaamua kujipeleka sasa,na jamaa akiwaona viongozi wa CDM pale uwanjani atasema maendeleo hayana chama sijui nini nawaona hata ndg zetu wa Chadema wako hapa na huu ndio uzalendo sijui nini.

Huku mtaani picha inakuja kwa wananchi kumbe Jamaa ni mtu poa sana wala hana shida na CDM na viongozi wake.
 
Ukija umevaa jezi ya cdm hakuna kuingia uwanjani
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
 
Wasanii na vigeugeu wa chadema
Wameona uchaguzi unakaribia wanataka kulainisha watu
Wamesusa sherehe kwa miaka 4,na hakuna impact yoyote ya kukosekana kwao
Uwe na kumbukumbu. Umehesabu na zile zilizoahirishwa?
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
Hivi anaenda kwenye sherehe ya kitaifa au ya CCM?Hiyo bei aliyofika ni bei gani?
 
Back
Top Bottom