Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

We ni mshamba saaana unafikiri njia sahihi ya kulinda amani ni kwa kuwamaliza wale wote wenye mawazo tofauti
Ndiyo kwa sababu nyie hamna nia ya kuwa wapinzani wa kweli wa kisiasa. Nyie ni mchanganyiko wa malooser wa kutaka maisha ya mtelemko, watu wenye kisirani na Rais wetu na serikali yake na wazandiki wasio itakia mema nchi yetu.

Nyie sio wapinzani wa kweli. Nyie ni watu ambao ni waroho wakubwa wa madaraka ambao mko tayari kutumia njia zozote zile kinyama ili mradi mfikie malengo yenu. Na ndiyo maana kazi yenu kubwa ni kubuni uongo usio semekana zidi ya Rais wetu na serikali yake.

Kwa hali hiyo hampaswi kuwa katika jehazi moja na wazalendo wa kutaka amani a maendeleo ya nchi yao.
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Wale wazee waliolipwa ADVANSI ya kuzuia mvua hawakawii kuambiwa waiachie tu irindime, sherehe zife
 
Hili ni bandiko la mwanaume mwenye tabia za kike.
Nenda kwanza kapate degree ya mkopo wa Magufuli, halafu ndiyo uje JF uchangie hoja ambazo zina substance.

Ina elekea mambo ya kike ndiyo kazi yako hiyo unayo ijua vizuri. Sorry Ngumbaru!
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
Kosa LA kamati kuu nini? Wabongo mnamatatizo sana, ni majungu fitina, vitu vidogo sana kujadiliwa na watu kwenye akili
 
Nakuona kwenye maandalizi ya sherehe za uhuru ushapigia suti yako kudadadeeekiiiiii
Ndio maana hawaalikwi Ikulu, hawaaminiki wale
tapatalk_1567627458569.jpeg
 
Bavicha mwenzio joka kuu anasema hizo ndege ni za Magufuli. We unasema ni za wananchi. Ebu kutaneni chamber mje na msimamo mmoja.
Mbona inaeleweka! Ni za wananchi kwa vile pesa zao zimetumika kununua, lakini ni za Magufuli kuwa sababu maamuzi hayo hayakufanyiwa planning na wananchi hivyo amezihodhi
 
Ccm mnaumia chadema kwenda kwenye sherehe za uhuru
 
Uko sawa kabisa mkuu,sielewi yaani kweli kamati kuu watu wote wale wanaweza kufanya maamuzi kijinga kijinga namna hii?

Naona wameamua kumu-endorse mkuu kimakusudi/kimkakati kabisa yaani pamoja na figisu zote anazowafanyia,sometimes nahisi kuna watu ndani ya CDM tunawaona ni makamanda kumbe wako kwa kazi maalumu.

Ila muda utaongea tu mkuu.

Naunga mkono hoja, sielewi hata ni kipi kimewafanya waende kwenye hiyo sherehe, nilisema bora wangeomba kibali polisi cha wao kusherehekea na kuongea na wananchi, bila kushiriki kwenye hiyo ya kiserikali. Hata wakinyimwa kibali poa tu kwani hata wakienda kwenye hiyo hafla ya rais ndio wataongea na hao wananchi? Hakuna kitu kibaya kama upinge jambo kwa sababu fulani, kisha ushiriki tena jambo lile huku suluhu haijapatikana. Hapa viongozi wa cdm hatuwaelewi, wanataka kurudia kosa lile lile la kumpokea Lowassa na kumpa nafasi adhimu.
 
Back
Top Bottom