Michaelmakene
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 236
- 322
..kwani wenyeviti wa mitaa/ vijiji wangeongoza taifa la Tanzania au wangeongoza taifa la ccm? Siasa ni ajira wagombea wengi walitegemea kuishi kwa kutegemee uenyekiti leo hii hawana pakuanzia kwa kutii sauti ya mbowe alafu uyo uyo mbowe anaenda kujikomba kwa watawala wakati uku mtaani katengeneza tahaluki kwa wanachamaHivi anaenda kwenye sherehe ya kitaifa au ya CCM?Hiyo bei aliyofika ni bei gani?