Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #61
Mkuu TV naonaga uvivu usafirishaji wake ni mgumu. Sijawahi kusafirisha. Wanatumia meli sasa kufika meli inachelewa. Lakini simu ni kwa ndege.Uko nae wa TV? Pia kama ndio ulizia 4K smart tv nchi 75. Kampuni Samsung, Hisense, au LG. OG tu.
Nakuacha tu ufanye biashara. Tumeagiza china zamani sana.Acha kujidanganya mkuu simu zote tunazotumia zinatoka China. Kama huamini naomba tukutane uone simu nayotumia ipoje. Uniambie kama hapa Tanzania hasa kwenye maduka ya kariakoo utaipata kirahisi na kwa bei niliyonunulia huko China.
Sawa boss, mimi huko ndio nilikua naishi mkuu. Nilikua naishi Hongshan. Nimeishi huko kwa miaka minne. Nimenunua laptop yangu mwaka 2018 mpaka muda huu naitumia. Hivyo nawafahamu vizuri wachina kuliko wewe. Hawawezi kuniuzia vitu fake. Ninauwezo wa kuingia ofisini kwao hata muda huu na kuwauliza mambo yasipo kwenda sawa. Nimezurura mitaa yote ya China ku refresh mind. Yaani nina marafiki kila mji hakuna mchina wala mtu anaye ishi kwenye mipaka ya China anaweza kuniletea ujanja. Hata wewe kama unataka kwenda China nitafute nikupe mwenyeji wa kufikia na ukifika nampigia simu akupokee.Nakuacha tu ufanye biashara. Tumeagiza china zamani sana.
Niagizie mkuuKama unahisi utaibiwa nikuagizie ikifika utalipia tena bei tutakayo agizia wote.
Unataka simu gani.Niagizie mkuu
iPhone 13 256gb pro max bei gani and inafika baada ya muda ganiSimu ni Samsung zote, iPhone zote, oppo zote, Vivo zote, Xiaomi zote, Google
068 ni code za Airtel TzHiyo namba ya simu yenyewe uliyoweka feki hakuna namba kama hiyo mitandao ya simu Tanzania
(06877446471)
basi kama swalihili umeshindwa kulijibu nishaingiwà nama shaka juu yakoJinsia inakusaidia nini mkuu tuwe seriously.
Jinsia inakusaidia nini mkuu mambo ya jinsia ndio tunayapigia kelele kila siku.basi kama swalihili umeshindwa kulijibu nishaingiwà nama shaka juu yako
Huawei sikushauri mkuu wangu siku izi hazina playstore. Hata mimi nilikua napenda Huawei ila nilisha badili mtazamo baada ya kuondolewa kwenye Google Play servicesNingekuwa sawa ningekuagiza Huawey yenye Ram 12 GB.
Siku nyingine.
Niulizie Bei yake.
Ndi mkuu hiyo ni namba ya airtel nipo Dar es Salaam Tanzania.068 ni code za Airtel Tz
Nakutumia bei yakeiPhone 13 256gb pro max bei gani and inafika baada ya muda gani
Kama unahisi utaibiwa nikuagizie ikifika utalipia tena bei tutakayo agizia wote.
Mkuu mm nataka nikuagize google pixel 6 pro, 12gb ram & 128gb romSawa boss
Ukizidisha tarakimu baadi ya mitandao itahesabu tarakimu 10 za kwanza tu, ya 11 inakuwa inasindikiza.Nilipoona namba yako ulivyoikosea nikakumbuka siku moja nilikuwa nampigia kaka yangu namba ile nilikuwa natoa kichwani sasa nikawa nimezidisha tarakimu moja lakini cha ajabu iliita akapokea mtu mwingine! Nikabaki najiuliza kumbe hizi namba hazina idadi wala fomula
Nje ya mada
Ahaa, kumbe!Ukizidisha tarakimu baadi ya mitandao itahesabu tarakimu 10 za kwanza tu, ya 11 inakuwa inasindikiza.
Kwa hiyo samsung A02 ni 360,000?Asante sana, wastani wa 360,000.
Naendelea kukufuatilia wakati mwingine ukipandisha uzi kama huu.