Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #61
Mkuu TV naonaga uvivu usafirishaji wake ni mgumu. Sijawahi kusafirisha. Wanatumia meli sasa kufika meli inachelewa. Lakini simu ni kwa ndege.Uko nae wa TV? Pia kama ndio ulizia 4K smart tv nchi 75. Kampuni Samsung, Hisense, au LG. OG tu.