Investor kama Investor, anapewa kila kitu cha serikali, kazi yake ni kupiga pesa tu.
Kama watanzania tutampa kura huyu muuzaji na chawa wake basi nchi hii ilikua ni Mali ya waarabu na sisi ni wavamizi. Ni haki kurejeshewa nchi Yao na mjukuu wa Sultani Yuko Sahihi.
Wale watu hawajawahi kuwapenda watanganyika kamwe.
Hata iweje lakini waarabu watakuja kufukuzwa Tanganyika kama mbwa Koko. Siku zinakuja. Watoto wetu haiwezekani warithi utumwa kwenye nchi yao Kwa sababu TU ya CCM na watu wachache kukalia madaraka.
Yaani Kanisa Katoliki lililojaa wasomi na wanazuoni waliobobea dunia nzima Leo wanapuuzwa na kutukanwa na machawa wa Std 7 huku wakichelelea wageni kwenda kuchota pesa bandarini na kupeleka Uarabuni kulisha watoto wao na watanzania kubaki kama watumwa na wageni kwenye nchi Yao.
CCM ni lazima iadhibiwe Kwa huu unyama waliowafanyia watanganyika na vizazi vyao.
Leo Nyerere na karume walioanzisha CCM wangefufuka wangewanyonga CCMaslahi wote na waarabu wao . Vijana wa Tanganyika amkeni muipiganie na kuitetea nchi yenu.
Umeme watu waliunganishiwa Kwa Sh. 27,000/- ili kuwainuwa maskini huku bandari iliwa chini ya wazawa Leo bandari imeuzwa , Royo tuuza ilitumiwa na maintelijensia wa kiuchumi toka nje Kwa ajli ya kuuza rasilimali zetu zote za asili . Tukaambiwa watalii wataongezeka kumbe ilikua ni udalali wa kuuza mbuga zetu.
2025 team JPM ni Bora iungane na upinzani ili upinzani ushinde na baada ya miaka mitano team hiyo itashinda Tena Kwa kishondo mana waoinzani watakosa mvuto Kwa wananchi wanyonge.
Lakini Team JPM ikidanganyika ikamsaidia Dalali kurejea madarakani basi ni wazi kuwa Wale vijana Wanne wezi walioshika Serikali wataisambaratisha Team JPM na kuipoteza kabisa ili 2030 waenedelee kukalia kiti na kulinda maslahi Yao na majizi mengine ndani ya mifumo.
Kuchagua Upinzani ni nafuu kubwa sana Kwa team JPM kuliko kuichagua CCM na team ya madalali wanaobebwa na Wazungu na waarabu na vyama vya Upinde na wahuni Toka nchi za magharibi wenye sera za kuangamiza na kudumaza kizazi Cha mwafrika.