Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

Sisi wafuasi wa Allah tunawakaribisha kwa furaha na bashasha
 
Worse of the Worse!
 
You mean to say that from next month TRA and BOT collections accounts will be filled up with so much monies!!?
Too early to make more money,its transition period. Maybe if they will upgrade infrastructure, in 5 years they may be coughing dough.Lakini yetu macho.
 
Investor kama Investor, anapewa kila kitu cha serikali, kazi yake ni kupiga pesa tu.
Kama watanzania tutampa kura huyu muuzaji na chawa wake basi nchi hii ilikua ni Mali ya waarabu na sisi ni wavamizi. Ni haki kurejeshewa nchi Yao na mjukuu wa Sultani Yuko Sahihi.

Wale watu hawajawahi kuwapenda watanganyika kamwe.


Hata iweje lakini waarabu watakuja kufukuzwa Tanganyika kama mbwa Koko. Siku zinakuja. Watoto wetu haiwezekani warithi utumwa kwenye nchi yao Kwa sababu TU ya CCM na watu wachache kukalia madaraka.

Yaani Kanisa Katoliki lililojaa wasomi na wanazuoni waliobobea dunia nzima Leo wanapuuzwa na kutukanwa na machawa wa Std 7 huku wakichelelea wageni kwenda kuchota pesa bandarini na kupeleka Uarabuni kulisha watoto wao na watanzania kubaki kama watumwa na wageni kwenye nchi Yao.

CCM ni lazima iadhibiwe Kwa huu unyama waliowafanyia watanganyika na vizazi vyao.
Leo Nyerere na karume walioanzisha CCM wangefufuka wangewanyonga CCMaslahi wote na waarabu wao . Vijana wa Tanganyika amkeni muipiganie na kuitetea nchi yenu.

Umeme watu waliunganishiwa Kwa Sh. 27,000/- ili kuwainuwa maskini huku bandari iliwa chini ya wazawa Leo bandari imeuzwa , Royo tuuza ilitumiwa na maintelijensia wa kiuchumi toka nje Kwa ajli ya kuuza rasilimali zetu zote za asili . Tukaambiwa watalii wataongezeka kumbe ilikua ni udalali wa kuuza mbuga zetu.

2025 team JPM ni Bora iungane na upinzani ili upinzani ushinde na baada ya miaka mitano team hiyo itashinda Tena Kwa kishondo mana waoinzani watakosa mvuto Kwa wananchi wanyonge.
Lakini Team JPM ikidanganyika ikamsaidia Dalali kurejea madarakani basi ni wazi kuwa Wale vijana Wanne wezi walioshika Serikali wataisambaratisha Team JPM na kuipoteza kabisa ili 2030 waenedelee kukalia kiti na kulinda maslahi Yao na majizi mengine ndani ya mifumo.

Kuchagua Upinzani ni nafuu kubwa sana Kwa team JPM kuliko kuichagua CCM na team ya madalali wanaobebwa na Wazungu na waarabu na vyama vya Upinde na wahuni Toka nchi za magharibi wenye sera za kuangamiza na kudumaza kizazi Cha mwafrika.
 

Bandari ikiwa chini ya Watanganyika wenzetu Umeme uliunganishwa Kwa Tsh. 27,000 na maji ilikua ni kununua rola la Bamba tu na kufungiwa maji kule vijijijini.

Leo umeme na maji bei juu huki kila kitu kikiwa kimeuzwa wa rushwa ya kundi dogo kujineemsha kupitia udalali wa kuuza rasilimmali za nchi.
Bandari imeuzwa , mbuga zimeuzwa , misitu imeuzwa, viwanja vimeuzwa , ardhi na madini yameuzwa Kila mahali, ufisadi Kila mahali, mikopo Kila siku , ushoga unashamiri Kila kukicha, tunaletewa mpaka mahindi na unga na samaki wa bandia ili kuvimaliza vizazi vya watanganyika na kuwarejesha Waarabu kwenye Pwani ya Afrika mashariki . Katiba ilikua ya hovyo sana iliyotoa mwanya wa kumpata kiongozi Kwa bahati mbaya.
 
Kama mwendokasi tu tumeshindwa kusimamia vipi bandari? Cha muhimu DP World waongeze ufanisi
Usojidanganye tutaibiwa mara kumi zaidi.

Ili mgeni asikuibie ni lazina akutane na wazawa wazalendo wanaoipenda nchi Yao na kumshughulikia mwizi bila kujali rangi zao. Hivi kama Mkuu wa nchi anashindwa kumfukuza na kumfilisi mwizi aliyemteua akiwa maskini ataweza kumshugulikia Bilioneo Toka falme za Kiarabu anayemiliki utajiri mkubwa kabisa duniani?
Wazawa watashirikiana na wageni kuiibia nchi kwa kiwango kikubwa na Cha kutisha Kwa sababu hakuna Tajiri anayewaza kupata hasara au kupata faida kidogo anapoona mwanya wa kupiga pesa na kupata faida kubwa zaidi.

Hivi Kagame amewezaje kuwajenga wnayarwanda kuipenda nchi yao na kuwa tayari kupora nchi jirani ili kuiendeza Rwanda kama sio kuwaadhibu wezi na hata kuwatupa gerezani wale wanaojaribu kuhujumu nchi.
Leo mkuu wa nchi anaweka tumu dhaifu wakati nchi imejaa wezi. Zaidi anawashirikisha kwenye uuzaji wa nchi na kugawana ngawira Toka Kwa wageni ndio Maana anakosa nguvu ya kuwashughulikia .

Biteko huyu sio yule wa enzi za JPM.
Ni mwingine kabisa.
Na hafai kabisa kusimamia maadili ya ndani ya serikali . Anajua wazi kuwa hafai. Na aliyemteua anajua na anajua ni kwa nini amemteua na hakumteua kwa sababu ya uadlilifu.
Wezi wanashindwa kuwasimamia wezi mana kila mmoja hamwamini mwenzake.

Tunahitaji mabadiliko ya Uongozi wa kisiasa , serikali na bunge na sio kuuza Rasilimali zetu kwa Wakoloni waliowachinja Babu zetu kama kuku ili wapore mali zetu . Leo tunawapa Tena ili wakawalimbikizie wajukuu zao Mali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…