Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kesi nzima ya serikali inaegemea ushahidi wa Urio halafu wanamtesa!!

Na huo ndio ushahidi mkubwa tulioambiwa na Sirro,huyu mzee astaafu tuu sasa.
Mkuu unazijua angalau "a,b,c" za ulinzi na ussalama wa nchi? Huyo Luteni yupo kazini jombaa!!
 
Nadhani wewe ndo unanipa tip nzuri kuliko wote.Ushahidi kwamba walikwenda Morogoro kabla ya kwenda Moshi nani katoa?(Nataka kujua tu,mi si mfuatiliaji mzuri wa hii kesi)

Huo ni ushahidi wa mke wa Adamoo, mtuhumiwa namba moja…. haujapatiwa ufafanuzi.
 
Ushahidi wake ni "inevitable" ili picha ya kesi hii iwe wazi. Ni vema upande wa utetezi au mashitaka wamuite kuwa shahidi wao.
 
Hii ishu imesukwa na TISI kwa kushirikiriana machoko wa polisi na Magufuli aliwakatalia huu upuuzi, sasa wamempa huu utopolo Samia, hii vita wajipange watakufa wengi mno, tujipe muda within 12 months mtajionea wenyewe.
Ni kweli, kwanza issu ya Moses Lijenje kupotezwa ishakuwa kubwa mno. Nafikiri Komandoo Moses hakukubali ujinga akaamua kupigana hadi tone lake la mwisho. Hii kitu kinaweza kikawa kikaango wa baadhi ya maafisa wa TISS na Police. Hii kesi ishawageukia kina Kingai tayari...mkumbuke hii ilikuwa enzi za mwendazake, connect dots na yule jambazi sugu la Hai.

Nakumbuka miaka za zamani nikiwa mdogo kabla sijamshitaki kaka ama dada yangu kwa baba ni najipanga kwanza, unaweza kupeleka mashitaka then kibao kikakugeukia wewe unakaangwa vibaya saana !! ndo haya ya kina Kingai.
 
Ila ukifkikilia vizuri ni dhahiri viongozi wetu wana shida kwenye kuwaza maana kwa mwenye Hekima hiki kitu hawezi fanya .Tena na ajabu Rais nae kaingizwa mkenge na yeye kaingia.Luteni Urio ndo atamaliza Kila kitu je atakua upande wa Polisi kama Shahid wao kwa mjibu wa RPC Kingai au atakua mshitakiwa kwa mjibu wa watuhumiwa?Mbeleni ni aibu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetupwa siyo kanali Linjenje?
 
Unafurahia mateso ya binadamu? Wewe ni "sadist".
 
Kufungua threads nyingi kuomboleza kuwa Mbowe Hana hatia nikujichosha bure hizi porojo na blah blah hazimfutii ugaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Wewe unaye mwona ana hatia, umetumia kipima gani? Tanzania bila ugaidi itawezekana pale chama cha magaidi (ccm) chenye wana chama magaidi, kina Hamza, kitakapo tokomezwa!
 
Wewe ndo unaishi hiyo 1981 ya Tamimu, Hii ni 2021, ambapo haki za binadamu zinazingatiwa!
 
Urio angekuwa ni potential witness upande wa mashitaka angekuwa ni number one witness to testify .... hii maana yake mashahidi Wakuu katika hii kesi ni Kingai, mahita na huyu corporal.... Urio ni story ya kutunga na hawezi kumleta kwakuwa urio akikana maelezo yake basi hii kesi hata ikienda kwenye main case itakuwa imeisha ... kwavile urio awali urio aliteswa na kwakuogopa urio kukana maelezo .... urio hata letwa na jamhuri kama shahidi
 
Kabisa mkuu na hii ndiyo kazi mmojawapo ya TBC badala ya kurusha kipindi cha harusi cha Chereko...
 
Kufungua threads nyingi kuomboleza kuwa Mbowe Hana hatia nikujichosha bure hizi porojo na blah blah hazimfutii ugaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Punguza kiherehere na kuwashwa washwa, nani kakutuma uje kwenye huu uzi??
 
Urio hajafukuzwa jeshini weweee...
 
..Urio ataletwa na upande wa mashtaka wakati kesi ya msingi itakapoanza kusikilizwa.

..Ni shahidi muhimu sana wa upande wa mashtaka kwasababu yeye ndiye anayedaiwa kutoa tip kwa polisi kuhusu kuwepo kwa njama za ugaidi.
Sasa ajabu ni pale akina Adamoo wanaposema naye kabinywa sanaaaaa huko Tazara...
 
Je ni uongo kwamba akina Tamimu, Maganga na wenzake walitaka kumpindua Nyerere? Baada ya mmojawapo kuachiwa (Maganga) kwenye mahojiano mbalimbali alikiri au hakukiri kutaka kumpindua Mwalimu? Ukishajibu hayo maswali rudi hapa tuendelee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…