Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Sasa mashahidi ndio hao wakina king, haiwaijui hata PGO mmmh labda.
 
Hii kesi inaleta misuguano isiyo ya lazima kati ya Jeshi la police vs JWTZ, Chadema VS serikali, Chadema vs Police, CCM vs JWTZ.

Fikiria moja ya mashahidi kwa upande wa utetesi wakawa wanajeshi kutoka huko ngerengere, je nini kitatokea baada ya kuwa wametoa ushahidi wao kuwatetea waliokuwa wenzao??? Serikali haioni tatizo kwenye hili??
 
Je huyu Moses hana ndugu kama wapo waliwai kutangaza kupotea kwake, kifo chake? Kuna taarifa yoyote kutoka kwenye familia yake toka hii kesi ianze au kabla ya kesi kuanza?
Wakati wa mwendazake mbona ilikuwa ishu ya kawaida kutoweka Wala haikuhitaji kuripoti maana hata ukiripoti haisaidii.
 
Kingai kawatesa sana JWTZ, hivi haya mamlaka aliyapata wapi?
 
Itashangaza kama MNYETISHAJI hatapanda kizimbani atujuze anayoyajua.
 

Mkuu acha ujinga bana wewe ni mkubwa kuliko ulichouliza hapa.
 
Jeshi letu nalo ni la ovyo kweli. Unaachaje makomandoo wanaofundishwa kwa gharama kubwa wakasumbuliwe na hawa vinyamkera Polisi. Na hao makomandoo kuliko kukamatwa namna hiyo unakufa na mtu aisee. Unless mambo yote ni fictictious.

Endelea kupiga masta kwa picha za kuchora kwa penseli.
 
Acheni huu UPUMBAVU ndio maana mnaishi kwenye makwapa ya watawala sababu mna uwezo duni wakufikiri issue sio mtu kufungwa inatakiwa mtu afungwe kwa kesi ya kweli sio ule UPUMBAF mnafanya

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app

Nani aaminike sasa,polisi au mbowe anayelewa na kuanguka kisha kudai kavunjwa mguu na wasiojulikana kutoka ccm???

Matapeli wanapokutana chukua jembe ukalime.
 
Ila mama samia anaimgia kwenye mzego, wakifauli huu huu mtego nakuhakikishia utawala wake utayba kwa kiasi kikubwa sana
 
Siro siku zake zinahesabika
 
Alikuwa upande wa watuhumiwa ila kichapo kimemgeuza shahidi wa jamhuri.
 
Kwanza kumtesa kumpiga mtu kumlazimisha aseme kile ambacho hakikuwepo ni ukiukaji wa haki za binadamu, pili Polisiccm kwenda kuwapiga Asikari wa jwtz ni udhalilishaji mkubwa wa jwtz na watanzania kwa ujumla hasa ukizingatia hakukuwepo na Ugaidi wowote ule zaidi ya DC Sabaya kutengeneza mazingira ya kumtesa mbowe kwa lengo la kumfurahisha Magufuli kipindi hicho, Lt Urio aliombwa na mbowe amtafutie walinzi wa kawaida Yaani makomando wasitaafu kwa lengo la kujilinda dhidi ya hujuma za DC Sabaya ambaye kipindi kile alikuwa ni DC dikiteta Hatari, kipindi anawasiliana na Lt urio ambaye kiukoo ni ndugu yake mbowe alidukuliwa mawasiliano yake na ndiyo maana Lt urio na yeye alikamatwa na kuletwa Tazara kuteswa kudhalilishwa na Polisiccm ingawa sasa kingai na mahita waliomtesa wamemnunua aweze kuwa upande wao wakizani watanzania ni wajinga kiasi hicho, hii kesi yaweza kuwa ndiyo kioo cha kutambua madhara ya kutengeneza kesi za kubambikiwa pasipo kutafakari kabla
 
Kupitia hii kesi watanzania wamejifunza vingi ikiwemo Polisiccm kuwatesa jwtz kienyeji kisha huyo huyo aliyeteswa kupigwa anakuja kuwa shahidi mahakamani , njaa mbaya Lt Urio anajidhalilisha na kulidhalilisha jwtz, kwa mateso aliyofanyiwa alipaswa awe amejiuzulu kazi na pengine hata kujinyonga kwa Aibu ya kupigwa kuteswa na Polisiccm ingawa sasa amejitoa fahamu anatoa ushahidi wa mchongo ambao unaenda kumletea Aibu zaidi badala ya faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…