Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.
Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo.sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina,so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea,nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.
Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife,sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.
Ebana moto wake umekua mkubwa,mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.
Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.
Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Mtafute uyo shoga ake alf mtongoze ufos mazngra na yy akamtumie pcha zenu mke wako
 
Naona tumeanza kushau Tanzania, taratibu taratibu Watanganyika tuanaamka na kujitambua vizuri, ushauri wangu tafuta huyo boya Kama ni demu mgonge na Kama ni dume mgonge mke wake au mpenzi wake, ushauri wangu ni best kulingana na ombi lako.
 
Wewe endelea na life lako...

Rudi baa sasa hivi uwe unakaliwa na zaidi ya mmoja...huyo CIA awe anapiga mapicha tu atakavyo!
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.
Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo.sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina,so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea,nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.
Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife,sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.
Ebana moto wake umekua mkubwa,mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.
Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.
Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Pole sana baharia
 
Tulishasema ata akufumanie wewe kana yaani kataa katakata tatizo ukuhudhuria kikao cha mwisho kenge we sasa apo ilibidi Ukane yaani ilibidi ukatae sio wewe na ikibidi umchenjie weka sura kauzu maana nauhakika picha ya usiku uyo spy aliepiga hakutumia flash light na picha haionekani vizur So ilibidi ukane futi 10000 ikibidi mbadilishie kesi sema kama ulikubali ni wewe basi kimeumana tukutane kikao kijacho
 
Usolve nini sasa

Endelea kupakatia


Mume wa mtu unaanzaje kupakata pakata wanawake bar?

Hamheshimu ndoa zenu basi heshimu hata mkeo!!!!
 
Back
Top Bottom