Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

Mkuu unakunywaje pombe ukiwa maeneo ya home wewe, sasa uyo dawa yake mfate uko uko kwa beki tatu ukawatombe wote hili iwe fundisho kwa wengine
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.

Rahisi Sana, mpuuze! Atakuja wote
 
Umeharibu ndiyo unakuja kutuomba ushauri, mbona ulivoita na kumpakata huyo maid hukutushirikisha? mume wa mtu unajiachia hivo hadi kupakatana na bar maids aargh uchafu huo. Tena waifu angekusindikiza na makonzi tu ukome
 
Umeharibu ndiyo unakuja kutuomba ushauri, mbona ulivoita na kumpakata huyo maid hukutushirikisha? mume wa mtu unajiachia hivo hadi kupakatana na bar maids aargh uchafu huo. Tena waifu angekusindikiza na makonzi tu ukome
Kuwatania wanawake wa nje haimanaanishi tunawala bali kunasaidia kupandisha mzuka wa kushughulika nyumbani, ujue ukila ubwabwa kuku kila siku unakinai
 
Kuwatania wanawake wa nje haimanaanishi tunawala bali kunasaidia kupandisha mzuka wa kushughulika nyumbani, ujue ukila ubwabwa kuku kila siku unakinai
Yaani unamaanisha unamtania bar maid hadi unampakata? Mmh si kweli huo utani ni wa kulana kimasikhara kabisa.
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Mkazie mwambie Sio wewe.

Halafu mwashie moto kwamba amekukosea sana tena kama vipi usilale hom siku2 kalale kwa wakwe
 
Jikaushe tu kisirani kitamuisha wewe jifanye na ww uko bze na mambo yako mbona ataomba mwenyewe hogo
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Pambana uhakikishe umempiga mbupu huyo barmaid aliekuzulia msala
 
Vijana acheni uzinzi na ulevi.
Mtakuja kunishukuru .
Wengi tumewazika kwasababu ya ulevi na uzinzi
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Mwambie kutokana na teknolojia hiyo picha imetengenezwa.Baada ya hapo na wewe chukua picha yake nenda kwa watalam wa kuedit picha waiediti aonekane Yuko kanisani anabatizwa au anakula kitimoto (kama ni mwisilamu)
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidian
"Eti anasema Mimi ni mchàfu was tabia"
 
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.

Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule barmaid akawa kanikalia hivi kama nimempakata yani.

Kumbe bana kwenye ile bar kulikua na CIA wa wife, sijui ilikuaje akabahatika kunipiga picha nikiwa nimekaliwa na yule manzi juu akaituma kwa wife.

Ebana moto wake umekua mkubwa, mpaka jana kaenda kulala chumba cha dada wa kazi anasema eti mimi ni mchafu wa tabia.

Nimejaribu kumbembeleza ila ngoma imekua ngumu.

Tusaidiane namna ya kusolve hili swala wakuu.
Kesi ndogo sana hiyo muine kiroka

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Tafuta huyo CIA wa my wife wako, piga mashine nae.
Na amrekodi akiwa anampiga machine then atamwonesha wife na kumwambia huyu huwa ananitaka toka zamani na mimi nilikuwa simtaki.Sasa hasira ndo akawa anataka kuvunja ndoa yetu kwa ile picha ambayo kiukweli ni mimi lakini sijafanya kitu chochote na yule dada wa watu,ni just mazoea tu tumezoeana.Na nitakoma hayo mazoea.

Ila ona sasa huyu CIA wako
 
Hivi mtu ukishaoa unapata wapi ujasiri wa kufanya ujinga mbele ya kadamnasi ya watu?
 
PAMBANA NA HALI YAKO.
Ukishakua mme wa mtu inabidi ujiheshimu kama kunywa nenda mbali sana na home achana na baa za nyumbani nywea mbali na home.

Angekua mke wako kamkalia jamaaa ungemwelewa???
Swali zuri sana.
 
Wewe endelea na life lako...

Rudi baa sasa hivi uwe unakaliwa na zaidi ya mmoja...huyo CIA awe anapiga mapicha tu atakavyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom