Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

Kesi kama hii unatatua vipi wakuu?

Usolve nini sasa

Endelea kupakatia


Mume wa mtu unaanzaje kupakata pakata wanawake bar?

Hamheshimu ndoa zenu basi heshimu hata mkeo!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeharibu ndiyo unakuja kutuomba ushauri, mbona ulivoita na kumpakata huyo maid hukutushirikisha? mume wa mtu unajiachia hivo hadi kupakatana na bar maids aargh uchafu huo. Tena waifu angekusindikiza na makonzi tu ukome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CIA wa wife wako Ali jaribu kumtongoza wife wako akagoma sasa kaja na mbinu mpya ya kukubomoa
 
Back
Top Bottom