Kesi mbalimbali za kampuni ya DP World inayotaka kuendesha bandari ya Dar es Salaam

Kesi mbalimbali za kampuni ya DP World inayotaka kuendesha bandari ya Dar es Salaam

Dowans na symbion walewale, mwarabu..wenye arabphobia islamophobia wenzio walipojua dowans ya sheikh general,wakapiga kelele,ilipokuja symbion wakatulia kisa mbele alitangulia mmarekani
Masuala ya symbion walitulia? Kila Leo watu wanapiga kelele makampuni ya kinyonyaji ya kizungu.

Huwa waislamu mnajiweka special group, kila jambo mnahisi mnashambuliwa kuhusu Imani yenu.
 
Mwenyekiti anaongelea mkataba mimi naongelea ufanisi wa DPworld na ajira sokoni.
Mkataba si ndio benchmark ya ufanisi na ajira. Kweye masharti ya mkataba hawaruhusiwi kuingiliwa kwenye maamuzi yao yoyote. Wakiamua kudeclare hasara hakuna kuwauliza, wakiamua kuajiri wafilipino hakuna kuwauliza.

Hiko ndio alichokuwa anaongelewa mbowe.
 
Hang on just a second, hang on. Kama bandari zote kunde ziko mahakamani, wanafanya kazi gani sasa? Mjumbe tukuombe ufuatilie ili tujue pa kujihami. Na kama kunde kesi zote ziko mahakama hiyo hiyo, kwani hawafuati doctrine ya precendence? Professor Mbarawa mie nina imani naye, if he says it's for the Nation, it must be.
Wapo wanasiasa aina ya Mbowe wanakuja na mawazo ya kipuuzi kabisa ya kuangalia asili za viongozi wa sasa wakati haya ni maamuzi yanayougusa uchumi wetu kwa miaka mingi ijayo.

Tunataka kuingia uchumi wa kati wa juu, hakuna uwezekano wa huu ufanisi duni wa bandari yetu wa sasa kuweza kwenda sambamba na kasi ya ongezeko la mzigo wa miaka michache ijayo baada ya SGR kuwa imeshaingia kazini.
 
Dp wanaendesha bandari marekani na ulaya we ng'ombe...arabphobia(islamophobia) inawasumbua Sana,angekua mzungu hapo vikundu mngevibana
Unajilinganisha na Marekani na Uingereza?

1.Dollar, Sterling pound za kwao
2. International law wameitengeneza wao
3. Wana Nuclear weapons, submarine, Missiles za kufa mtu, hata wakiamua kugomea mkataba anytime wanajua huna cha kuwafanya, huwezi kuwawekea vikwazo, huwezi kukamata ndege zao, huwezi kufanya lolote!

Sasa jichanganye wewe pangu pakavu tia mchuzi kuwageza hao uone kama nchi haijapigwa mnada kufidia deni ukijaribu kujichomoa kwenye mkataba wa kimangungo!
 
Huyu mama SSH sijui alitokea wapi? Elimu yake ikoje (background yake?) Au ndo izo elimu za kuungaunga? Huyu mama inabidi aligiwe kura ya kumuondoa madarakani kabla hajaleta madhara zaidi! Amezunguka na kundi la wahuni, wahujumu uchumi na vibaraka wa mabeberu! Kwa vile kichwani hazimo anapelekeshwa tu!
 
Mkataba si ndio benchmark ya ufanisi na ajira. Kweye masharti ya mkataba hawaruhusiwi kuingiliwa kwenye maamuzi yao yoyote. Wakiamua kudeclare hasara hakuna kuwauliza, wakiamua kuajiri wafilipino hakuna kuwauliza.

Hiko ndio alichokuwa anaongelewa mbowe.

Bado hii ni miaka 2 tu. Sijui mambo yatakuwa vipi kile kipindi ya mitano ya lala salama?
 
Watoto wa kichaga naona mmeshikwa pabaya maana uchumi wenu wa kaskazini unategemea sana hapo bandarini....wacha kombe liende uarabuni sie timu Magu kiroho safi hatuna cha kupoteza.
Sio uzalendo huo mkuu, hii nchi ni ya Watanzania wote, kwa maana ya kuwa huu mchakato utaathiri taifa zima.

Fikiri kwa mapana.
 
Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.

3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.

4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.

5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.

6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.

8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.

10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.




DP World's controversial history of P&O ownership | P&O ...


DP World is ultimately owned by Dubai's ruling royal family. The chairman and group chief executive is Sultan Ahmed bin Sulayem, who has long been near the heart of government; he chairs a government department that includes the Dubai customs workforce, and leads the Jebel Ali free zone authority. Hapo ndio kelele za ishabiki wa akina Mbarawa na Musukuma utazielewa, tulianza na mbuga zetu, sasa bandari zetu, visiwa vyetu kwa mara ya kwanza nimeanza kuuchukia muungano, haya mambo yakafanyike huko kwa waarabu Zanzibar.
 
Uzi wako ni mzuri mno ya kuwa hawa sio watu wepesi! Ukiingia nao tuu mkataba halafu uje kuzingua utaona cha mtemakuni. Hii kampuni ndiyo inayotakiwa katika ulimwengu wa sasa maana yake ni kuwa hawa jamaa sio wababaishaji.

Kwa maoni yangu hawa wapewe sekta zote nyeti kama Tanroad, TRA, Takukuru, BOT na nyingine nyingi tuu.
Urais je?
 
Sio uzalendo huo mkuu, hii nchi ni ya Watanzania wote, kwa maana ya kuwa huu mchakato utaathiri taifa zima.

Fikiri kwa mapana.
Wewe ndio ufikiri kwa mapana mkuu....hapa ni vita ya maslahi binafsi kwa watakaopata na watakaokosa.
 
The decision of the Tanzanian government to give DP World the management of its ports is a complex one with both potential benefits and risks.

On the one hand, DP World is a well-respected global port operator with a proven track record of success. The company has invested heavily in port infrastructure and technology, and it has a strong focus on customer service and efficiency. This could potentially lead to significant improvements in the performance of Tanzania's ports, which could boost trade and economic growth.

On the other hand, there are concerns that giving DP World control of Tanzania's ports could lead to increased costs and decreased transparency. DP World is a private company, and it is not subject to the same level of government oversight as a public entity. This could make it difficult for the Tanzanian government to ensure that the company is acting in the best interests of the country.

Ultimately, the decision of whether or not to give DP World the management of Tanzania's ports is a political one. The government will need to weigh the potential benefits and risks carefully before making a decision.

Here are some of the potential benefits of giving DP World the management of Tanzania's ports:

Improved efficiency: DP World has a proven track record of improving the efficiency of ports. This could lead to shorter waiting times for ships, lower costs for businesses, and increased trade.

Increased investment: DP World is likely to invest in the port infrastructure, which could create jobs and boost the economy.

Improved technology: DP World is a leader in port technology. This could lead to the adoption of new technologies that could improve efficiency and safety.

Here are some of the potential risks of giving DP World the management of Tanzania's ports:

Increased costs: DP World is a private company, and it is likely to charge higher fees than a public entity. This could lead to higher costs for businesses and consumers.

Decreased transparency: DP World is a private company, and it is not subject to the same level of government oversight as a public entity. This could make it difficult for the Tanzanian government to ensure that the company is acting in the best interests of the country.

Loss of control: Giving DP World control of Tanzania's ports could lead to a loss of control over the country's maritime assets. This could have implications for national security and sovereignty.

The Tanzanian government will need to carefully weigh the potential benefits and risks of giving DP World the management of its ports before making a decision.
Hapo kwenye potential risk ndo sehemu kubwa ya kuangaliwa
 
Uzi wako ni mzuri mno ya kuwa hawa sio watu wepesi! Ukiingia nao tuu mkataba halafu uje kuzingua utaona cha mtemakuni. Hii kampuni ndiyo inayotakiwa katika ulimwengu wa sasa maana yake ni kuwa hawa jamaa sio wababaishaji.

Kwa maoni yangu hawa wapewe sekta zote nyeti kama Tanroad, TRA, Takukuru, BOT na nyingine nyingi tuu.
Tuwape na polisi walete IGP wao kabisa
 
Mkataba si ndio benchmark ya ufanisi na ajira. Kweye masharti ya mkataba hawaruhusiwi kuingiliwa kwenye maamuzi yao yoyote. Wakiamua kudeclare hasara hakuna kuwauliza, wakiamua kuajiri wafilipino hakuna kuwauliza.

Hiko ndio alichokuwa anaongelewa mbowe.
Ndio maana Mwenyekiti anaongelea mkataba mimi kunajamaa zangu wanafanya kazi DpWorld Southhampton na mimi nimeshaapply.

I don't care kelele za Mitaani.
 
Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.

3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.

4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.

5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.

6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.

8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.

10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.
Halafu karibu zote ni dismissed
 
Back
Top Bottom