Popote mbali na nyumba takatifu.Kwenda wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popote mbali na nyumba takatifu.Kwenda wapi!
JK huyu hana uzalendo kabisa.Too late my dear!
Kuna remote control iko mafichoni..Mungu atufanyie tu wepesi.
Tukomae mkuuKwakuwa sisi hatuna akili acha tupigwe tu
Tuzidishe dua,Mungu ni mwaminifu atatuamulia na ugomvi huu pia.Too late my dear!
Kuna remote control iko mafichoni..Mungu atufanyie tu wepesi.
Bi Tozo hawezifanya kila kitu kuna wasaidizi wake aliyewaamini ndiyo wanamuingiza chaka ,inabidi sisi ndiyo tumwambie ili achukue uamuzi....Hao wasaidizi wanafanya kwa maslahi yao binafsi na siyo ya nchi.
Zanzibar mpaka leo bei ya kuunganisha umeme ni elfu 27Mbona hii ishu Samia haipeleki Zanzibar
Na kuna Bandari huko????
Watu hatari sanaJK kafanya yake, Rostam humkosi hapo pamoja na Kinana
Maza wameshamtangulizaWatu hatari sana
Nikikumbuka Richmond ikazaa Downs na Symbions halafu physical address ni za Caspian
Tanzania 🇹🇿 Ni Sikio La Kufa Litasikia Kwa MunguHatari sana
Kwa yote hayo yaliyotokea tume ingia kwenye mdomo wa mamba
Rushwa imetawala sanaTanzania [emoji1241] Ni Sikio La Kufa Litasikia Kwa Mungu
Leo Bungeni Ccm Wamecharuka Kupitisha Mkate Wao Kwa Kishindo KikubwaRushwa imetawala sana
Muache ale avimbiweJK huyu hana uzalendo kabisa.