Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Ghafla Muheshi-miwa Jaji Kawa mdogo kama punje ya haradaliJaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghafla Muheshi-miwa Jaji Kawa mdogo kama punje ya haradaliJaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
[emoji23]
Huyu kapewa mchongo lakini 90% ya waliyoyatenda wamemfichaInaonekana huyu Jaji ni mwoga-mwoga. Anasahau ukuu wa kiti chake na mamlaka yake kama mtoa haki.
Vv
Barikiwa sana MpwaKabisa yaani , alishirikiana na Tiss na Polisi , huyu Hangaya kaiendeleza tu tena kwa shinikizo la kitengo , ulikuwa mpango wa Jiwe kufuta Chadema ili atawale kwa amani maisha yote .
NAAHIDI KUANZISHA UZI MWANANA KUHUSU HILI MUDA SI MREFU , KUNA WATU NAENDELEA KUWAHOJI
usiondoke JF
Usiondoke JF
Inakaribia kufika KileleniHapa ilipofika hii kesi ni patamu sana !
Uoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.Inaonekana huyu Jaji ni mwoga-mwoga. Anasahau ukuu wa kiti chake na mamlaka yake kama mtoa haki.
Vv
Leo hatalala!Judge kaona isiwe tabu, kauliza kama wako tayari Waziri huyo aitwe, wakajibu NDIO MUDA UKIFIKA.
Hii kesi itavua Watu nguo saana, nakiri nilikua sahihi kusali usiku na mchana isifutwe.
Muda huu kwenye cross examination, Mtobesya anamtaja Aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi Ndugu Mwinyi kuwa alimtumia pesa Mtuhumiwa ndugu Bwire.
Judge kaona isiwe tabu, kauliza kama wako tayari Waziri huyo aitwe, wakajibu NDIO MUDA UKIFIKA.
--
Mallya: Sasa Kwenye Miamala ya Khalfani Bwire, Ina onyesha alikuwa anatumiwa Fedha na Waziri wa Ulinzi Kipindi Kile Ambaye ni Hussein Mwinyi ambaye sasa ni Rais wa Zanzibar, Ila Wewe Ukaona Ufiche tusione Miamala hiyo.
Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
Itajulikana tu! Na pesa nyingine wanazosema Mbowe ndio katuma kumbe zimetumwa kutoka kwa WakalaUoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.
Lakini pia najiuliza Mwinyi alimtumia Bwire pesa kwa madhumuni gani?
Kama Nini kumbe?Kesi tamu sana hii
CCM oyeeeeeYoooo mawe
AsulubiweeeeJaji ame-panic mmepata wapi hiyo?!
Hizo siri mlitaka mpewe nyie tu, wakipewa wengine mnatoa macho, na bado.
Waambie watulie waache mchezo uendelee, hakuna kuweka mpira kwapani hapa.
jiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!Kabisa yaani , alishirikiana na Tiss na Polisi , huyu Hangaya kaiendeleza tu tena kwa shinikizo la kitengo , ulikuwa mpango wa Jiwe kufuta Chadema ili atawale kwa amani maisha yote .
NAAHIDI KUANZISHA UZI MWANANA KUHUSU HILI MUDA SI MREFU , KUNA WATU NAENDELEA KUWAHOJI
usiondoke JF
Bwana yule kumbe ni financer wa ugaidi?Kama Nini kumbe?
Tulia, tulia, tulia kidooooogo ndio kwanza ni January hiijiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
Best wa ACT WazalendoBwana yule kumbe ni financer wa ugaidi?
Ewaaaaaaa, kama sio kosa, kwanini Mbowe akamatwe kwa kuwatumia pesa Akina Adamoo? Kote kwa motoKwani nikosa kumtumia mtu pesa?