Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ni balaaaNakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??
Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
NdioMkuu kwani hii kesi kaianzisha Jiwe??
Sorry, sijibishani na vichaaAkili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
Hii kesi itawatesa saaaanaHatari sana. Kweli njia ya mwongozo fupi.
Mallya mchokozi sana, huwa nasubiri eneo lake kwa hamu.Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
[emoji23]
Mungu hadhihakiwiAisee!. Hii kesi ifutwe tu.
Hapo bado Mbowe hajaanza kujitetea. Nahisi atakuja kuongea mambo mazito. Kuanzia uonevu aliofanyiwa wa Bilcanas kuvunjwa, kuharibiwa bustani zake, vitisho toka kwa wakubwa, Kubambikwa kesi ya mauwaji ya Akwilina, Msaidizi wake kutekwa, Lisu kupigwa risasi na kisha yeye kubambikiwa kesi. Akijipanga vizuri kuweka evidence na mtiririko wa mateso yake, atawavua nguo sana watawala.
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!Nakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??
Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
Amesema anaendelea kesho asubuhi, Dada wa watu hatalala leoMallya mchokozi sana, huwa nasubiri eneo lake kwa hamu.
Maswali yake huwa sio mengi sana ila lazima afanye uchokozi.
Hapana haiko hivyo, Shahidi kaulizwa idadi ya namba alizoombwa atume, akasema tatu ila katuma mbili, kaulizwa kwanini akasema ni OVERSIGHT hahahahahah kama ungefuatilia updates za Leo ungepata jibu mapema Kabla ya kupost... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
unajua akina Bwire wamekamatwa lini ?jiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
Wauliza machadema?Vipi kuhusu masisiemu yanayoumana,Yana akili au hayana?jiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
Hakuna jiwe litaachwa, Na Samia pia ataitwa atoe ushaidi wa ugaidi wa Mbowe, si alisema anao na wengine wamehikumiwa..!Wacha tuone, CHADEMA wanataka kumuita kizimbani Mheshimiwa "Rahisi" wa Zenji
Kwa ufinyu wa akili yako huwezi kujua maana yake.Akili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
Akili zake hazina akili huyo, sijuhi ni mdudu kiroboto au chawa ama kupe, labda ni Nzi wa kijani.unajua akina Bwire wamekamatwa lini ?
.... ha ha ha! Oversight my foot! Mdada mwenyewe meneja kitengo cha sheria huko Airtel; msomi wa sheria na mtaalamu wa muda mrefu wa mawasiliano! Shughuli la kikubwa hili!Hapana haiko hivyo, Shahidi kaulizwa idadi ya namba alizoombwa atume, akasema tatu ila katuma mbili, kaulizwa kwanini akasema ni OVERSIGHT hahahahahah kama ungefuatilia updates za Leo ungepata jibu mapema Kabla ya kupost
Hawana majibu haoWakikujibu niambie