Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Aisee!. Hii kesi ifutwe tu.
Hapo bado Mbowe hajaanza kujitetea. Nahisi atakuja kuongea mambo mazito. Kuanzia uonevu aliofanyiwa wa Bilcanas kuvunjwa, kuharibiwa bustani zake, vitisho toka kwa wakubwa, Kubambikwa kesi ya mauwaji ya Akwilina, Msaidizi wake kutekwa, Lisu kupigwa risasi na kisha yeye kubambikiwa kesi. Akijipanga vizuri kuweka evidence na mtiririko wa mateso yake, atawavua nguo sana watawala.
 
Nakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??

Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
Duh ni balaaa
 
Aisee!. Hii kesi ifutwe tu.
Hapo bado Mbowe hajaanza kujitetea. Nahisi atakuja kuongea mambo mazito. Kuanzia uonevu aliofanyiwa wa Bilcanas kuvunjwa, kuharibiwa bustani zake, vitisho toka kwa wakubwa, Kubambikwa kesi ya mauwaji ya Akwilina, Msaidizi wake kutekwa, Lisu kupigwa risasi na kisha yeye kubambikiwa kesi. Akijipanga vizuri kuweka evidence na mtiririko wa mateso yake, atawavua nguo sana watawala.
Mungu hadhihakiwi
 
Nakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??

Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
 
... kwa hili Airtel haliwahusu sana; wanaweza kujitetea. Orodha ya miamala wao waliitoa kama walivyokua instructed na barua ya polisi ambao walikuwa wanataka miamala among specific numbers so, (Airtel) wasingeweza kutoa miamala ambayo hawakuulizwa!
Hapana haiko hivyo, Shahidi kaulizwa idadi ya namba alizoombwa atume, akasema tatu ila katuma mbili, kaulizwa kwanini akasema ni OVERSIGHT hahahahahah kama ungefuatilia updates za Leo ungepata jibu mapema Kabla ya kupost
 
jiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
unajua akina Bwire wamekamatwa lini ?
 
jiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
Wauliza machadema?Vipi kuhusu masisiemu yanayoumana,Yana akili au hayana?
 
Hapana haiko hivyo, Shahidi kaulizwa idadi ya namba alizoombwa atume, akasema tatu ila katuma mbili, kaulizwa kwanini akasema ni OVERSIGHT hahahahahah kama ungefuatilia updates za Leo ungepata jibu mapema Kabla ya kupost
.... ha ha ha! Oversight my foot! Mdada mwenyewe meneja kitengo cha sheria huko Airtel; msomi wa sheria na mtaalamu wa muda mrefu wa mawasiliano! Shughuli la kikubwa hili!
 
Back
Top Bottom