Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,995
MmmmUoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.
Lakini pia najiuliza Mwinyi alimtumia Bwire pesa kwa madhumuni gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmUoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.
Lakini pia najiuliza Mwinyi alimtumia Bwire pesa kwa madhumuni gani?
Cooljiwe na mbowe ,walikuwa ma best Sana,jiwe hakutaka kumsulubu mbowe,alikausha ,isingekuwa hivyo Basi hii kesi ingeanza kpindi Cha jiwe. Hapa ni Bibi ndo master mind,na sabab mnaijua! Sema MAchadema akili zenu fupi,yaani mpaka Sasa hamjui mnapambana na Nani!!, Na kwa sababu gani!! Daah ! Kwa akili hizi mbowe anahaki ya kuendelea kuwa mwenyekiti !!
Kwani bwana Hussein alikataliwa na wazanzibarNilishangaa sana Jiwe kumpa nafasi Hussein huku Wazanzibar wote wakimkataa , kumbe alimtumia ili kumbambika kesi Mbowe !
Hahahaha[emoji23]Ndo wakome
Dah.. Hii ngumu kumeza.. Yaani mheshimiwa na convoy lake lote aingie mahakamaniWamuite Mwinyi aje kusimamia mahakani siku nzima... hamna namna
Hahahaha[emoji23]Ghafla Muheshi-miwa Jaji Kawa mdogo kama punje ya haradali
... issue ni lego la miamala hiyo ni lipi? Hope mahakama itaamua kwa busara!...
Kwamba kwenye miamala ya mtuhumiwa Khalifan Bwire, Kuna miamala ambayo ilikuwa inatoka kwa waziri wa ulinzi kipindi kile ambaye kwa Sasa ni Raisi wa Zanzibar ndugu Hussein Mwinyi
...
Why Mbowe kumtumia elfu80 Khalifan iwe ugaidiKwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cool... una haraka sana kuanzisha thread. Mwinyi (Hussein) hajawahi kuwa waziri wa mambo ya ndani "kipindi kile".
Ila Mbowe akimsadia Adamoo ndio jambo la ajabu? Mtajua hamjui mwaka huuKwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikujibu niambieWhy Mbowe kumtumia elfu80 Khalifan iwe ugaidi
Hii kesi itavua Watu nguo saana, nakiri nilikua sahihi kusali usiku na mchana isifutwe.
Muda huu kwenye cross examination, Mtobesya anamtaja Aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi Ndugu Mwinyi kuwa alimtumia pesa Mtuhumiwa ndugu Bwire.
Judge kaona isiwe tabu, kauliza kama wako tayari Waziri huyo aitwe, wakajibu NDIO MUDA UKIFIKA.
--
Mallya: Sasa Kwenye Miamala ya Khalfani Bwire, Ina onyesha alikuwa anatumiwa Fedha na Waziri wa Ulinzi Kipindi Kile Ambaye ni Hussein Mwinyi ambaye sasa ni Rais wa Zanzibar, Ila Wewe Ukaona Ufiche tusione Miamala hiyo.
Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
Yaani hii kesi kuna watu wata fika mbinguni wakiwa wamechoka sana!!! Kingai upo???Hii kesi itavua Watu nguo saana, nakiri nilikua sahihi kusali usiku na mchana isifutwe.
Muda huu kwenye cross examination, Mtobesya anamtaja Aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi Ndugu Mwinyi kuwa alimtumia pesa Mtuhumiwa ndugu Bwire.
Judge kaona isiwe tabu, kauliza kama wako tayari Waziri huyo aitwe, wakajibu NDIO MUDA UKIFIKA.
--
Mallya: Sasa Kwenye Miamala ya Khalfani Bwire, Ina onyesha alikuwa anatumiwa Fedha na Waziri wa Ulinzi Kipindi Kile Ambaye ni Hussein Mwinyi ambaye sasa ni Rais wa Zanzibar, Ila Wewe Ukaona Ufiche tusione Miamala hiyo.
Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
Kwani Mbowe hana haiba ya kusaidia watu?Kwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??Kwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mtu aliyemsaidia anatuhumiwa kwa ugaidi. Kama ni hivyo kwa Mbowe kwa nini iwe kinyume kwa Mwinyi na muda ni huohuoKwa haiba ya Rais Mwinyi kipindi akiwa waziri wa ulinzi sishangai kama kumsaidia mtu anaeyemfahamu kumtumia pesa ikawa ni jambo la ajabu.
Uungwana wake si sababu ya kuona kama alitenda jambo baya na jambo lipo kwa mahakama ngoja niishie hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajitoa ufahamuTatizo mtu aliyemsaidia anatuhumiwa kwa ugaidi. Kama ni hivyo kwa Mbowe kwa nini iwe kinyume kwa Mwinyi na muda ni huohuo