LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Halafu ati Kingai na genge lake wana jiita wapelelezi wakati issue ndogo kama hiyo hawakuionaHatari sana. Kweli njia ya mwongozo fupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ati Kingai na genge lake wana jiita wapelelezi wakati issue ndogo kama hiyo hawakuionaHatari sana. Kweli njia ya mwongozo fupi.
Mbona umepanicAkili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
Wewe ni kiazi.Swala ni kuwa Mbowe kumtumia Adamoo hela ni kosa,Sasa Vipi mwinyi kumtumia huyo mtajwa ni ugaidi siyoAkili zenu ni pumba sana yaani kutajwa Mwinyi tu mmeshinda kesi siyo!!??
Watoto wa vigogo na watu wenye kutafuna mema ya nchi ndio waliojitolea kumsingizia Mbowe ugaidi , hii ni baada ya askari wengi waliopanga kutumika kusitasita .Uoga ni kwasababu tayari ana maamuzi ya kesi mfukoni.
Lakini pia najiuliza Mwinyi alimtumia Bwire pesa kwa madhumuni gani?
Mahaita, Goodluck, JumanneYaani hii kesi kuna watu wata fika mbinguni wakiwa wamechoka sana!!! Kingai upo???
Makamanda hii kesi ngumu kwa JamhuriHuyu kapewa mchongo lakini 90% ya waliyoyatenda wamemficha
Awali alihoma kwenda mahakamani, kilichomuwasha Leo kwenda ni nini?Amesema anaendelea kesho asubuhi, Dada wa watu hatalala leo
Jaji anaogopa swali la kawaida kabisa!Jaji: Bwana Mallya, Unatoa wapi Maelezo hayo?
Malya: Kwa wateja wetu Jaji
[emoji23]
... katika structure ya TPF Kingai ni 2nd level; ni RPC just next to IGP! Ha ha ha!Halafu ati Kingai na genge lake wana jiita wapelelezi wakati issue ndogo kama hiyo hawakuiona
Sigara kaliWauliza machadema?Vipi kuhusu masisiemu yanayoumana,Yana akili au hayana?
MmmNakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??
Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
Hatukutaki miongon mwetu wewe TAGAMakamanda hii kesi ngumu kwa Jamhuri
Taga baba yako shenziHatukutaki miongon mwetu wewe TAGA
Kesi hisifutweAisee!. Hii kesi ifutwe tu.
Hapo bado Mbowe hajaanza kujitetea. Nahisi atakuja kuongea mambo mazito. Kuanzia uonevu aliofanyiwa wa Bilcanas kuvunjwa, kuharibiwa bustani zake, vitisho toka kwa wakubwa, Kubambikwa kesi ya mauwaji ya Akwilina, Msaidizi wake kutekwa, Lisu kupigwa risasi na kisha yeye kubambikiwa kesi. Akijipanga vizuri kuweka evidence na mtiririko wa mateso yake, atawavua nguo sana watawala.
Sasa kama haipo kwenye orodha ya miamala, utetezi wametoa wapi?, Itajua kazi bure maana Airtel bado watakanaNakushauri pitia hio tweet, issue ni kwamba pesa ambayo Mwinyi aliituma huo miamala haupo kwenye orodha ya miamala! Kuna Nini kimefichwa? Soma updates zote ndio utajua kinachozungumzwa. Mbowe alituma, Mwinyi alituma, kwanini kwenye kiambatanisho muamala wa Mwinyi haupo??
Pili, ni kwamba Watu hawa wanatuhumiwa kufadhiliwa kufanya Ugaidi na Mbowe kwa kiasi Cha fedha kilichotumwa kwao, lakini wakati huo huo, Watu (mtu) Mtuhumiwa huyo huyo anatumiwa pesa kutoka kwa Waziri wa Ulinzi, kweli?
Huu ni mwanzo tu, kumbuka ndio kwanza tuko JanuaryMakamanda hii kesi ngumu kwa Jamhuri
Kwa mteja waoSasa kama haipo kwenye orodha ya miamala, utetezi wametoa wapi?, Itajua kazi bure maana Airtel bado watakana
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huu ni mwanzo tu, kumbuka ndio kwanza tuko JanuaryMakamanda hii kesi ngumu kwa Jamhuri
Hamnaaaa banaaa hatukutaki miongon mwetu.Taga baba yako shenzi
Bado kibatalaAmesema anaendelea kesho asubuhi, Dada wa watu hatalala leo