Kesi ya Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaanza kusikilizwa

Kumekucha. Gaidi mmoja kawafungulia Kesi magaidi wakuu 1000.
 
Hapa kuna kesi mbili tofauti.
 
YAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU
Sawa Boya,wewe sindeye hakimu,he unajua maana ya uwakilishi,vipi kama wamewakilisha jumuia za kimataifa,Mfamo Eu,scandinavia,amerika.umeshatafakari uwezekano huo,he vipi kama picha nyingine hujabahatika kuziona.
 
Kule wanajisifu kurudisha mahusiano na wazungu huku wanabomoa, hakika nimeamini problems can not be solved by same level of thinking which created them.
 
sahihi
 
CCM ni genge la watu wachache ambalo linaikalia Tanzania ki mabavu.
 

doooh mpaka lini nchi itaendelea kwa misaaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…