Niliuliza tu ruling ilitakiwa iweje? Put aside these theories of natural justice we learn in the classroom.
😂😂😂😂 nimecheka kama mazuri. Anyway, tujifunze tu kuwa Judiciary is among the cogs of the state. It serves the best interests of the state. At least Magufuli was honest to say, yes there's independence of judiciary, but will never be above the executive, mhimili umejichimbia zaidi ya mihimili mingineKwa hukumu kama hii ya huyu jaji mbona inaonyesha kabisa kwamba somo la sheria ni la watu wajinga sana kumbe ndio maana wana sayansi wanawadharau sana watu wa sheria.
Kumbe mtu anaweza kabisa akaendesha kesi kwa hisia tu bila kufuata misingi ya sheria na ikawa tu imetoka hivyo.
Kumbe ndio maana huko magerezani kuna watu wamefungwa huku wakiwa 100% innocent 😇 kwa sababu ya majaji sampuli ya akina Siyani.
Watu tumekaa tunafikiri kuna kesi tunafuatilia kumbe ni usanii mtupu na labda hata hukumu ya kesi ya msingi tayari imeshaandaliwa na wanasubiri jaji ajaye wampatie.
It's very sad and disheartening that even after a silver jubilee of independence this country has no an independent and the vibrant judiciary only the government established political syndicate masquerading as a judiciary.
Huo wajibu wa kuamua bila undue influence ndio ameupora.
Kile cheo alichopewa katikati ya kazi kilikuwa ni sawa na "undue influence" na kimeyaathiri maamuzi yake.
Wanafanya hayo yote kwa kisingizio cha sovereign county. Lakini hawataki kukubali kuwa Mungu hapendi uovu. Mwendazake yuko wapi na jitihada zake za kuharibu mifumo ya utawala. Time 'll tellHaki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:
1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."
Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
Ni aibu kwa mahakama kwamba kajiridhisha eti pasi na shaka kuwa:
"Maelezo ya watuhumiwa mikononi kwa polisi ambao hawaelezi aliko Moses Lijenje au Luteni Urio kuwa yalitolewa forthcoming na watumishi kwa ridhaa yao."
Hata mtoto mdogo anajua jaji hajawa fair.
Kwa kweli tunahitaji katiba mpya itakayo ainisha nani na vipi tunakuwa na majaji watako amua kesi kwa haki na haki tupu si kwa visingizio.
Kwa hakika Jaji Siyani ameonyesha kesi hii na bila shaka hatua zake zote tangia mwanzo hukumu hazitoki mahakamani.
Sorry mkuu, legal practice is an unending learning profession. Mimi natamani kujifunza kutoka kwako; ni kweli Moses Lijenje na Kpt. Urio walikuwa wakitajwa mahakamani in a very suspicious way. Jaji Siyani alikuwa na uhuru wa kutumia sheria ipi kuhakikisha anafanya uamuzi wa kuiamuru prosecution kuwaleta hao wawili, i.e. Lijenje na Urio!? Could a Judge just decide anyhow, (in suo moto) to compel prosecution to produce the two before him!?Ni aibu kwa mahakama kwamba kajiridhisha eti pasi na shaka kuwa:
"Maelezo ya watuhumiwa mikononi kwa polisi ambao hawaelezi aliko Moses Lijenje au Luteni Urio kuwa yalitolewa forthcoming na watumishi kwa ridhaa yao."
Hata mtoto mdogo anajua jaji hajawa fair.
Kwa kweli tunahitaji katiba mpya itakayo ainisha nani na vipi tunakuwa na majaji watako amua kesi kwa haki na haki tupu si kwa visingizio.
Kwa hakika Jaji Siyani ameonyesha kesi hii na bila shaka hatua zake zote tangia mwanzo hukumu hazitoki mahakamani.
Mahakama imedhalilika sana !Haki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:
1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."
Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
Mahakamani sio kichochoroni nani atawahi kumkaba mwenzie amuibie simu.
Mahakamani ni uwanja wa sheria, toa fact zako iangaliwe sheria inasemaje jibu lipatikane, hapa hatuangalii maoni ya mtu kama tupo kwenye michango ya harusi.
Mahakama imedhalilika sana !
Hapa ndio umenijibu kuhusu hoja ya "undue influence" uliyoianzisha? naona umekiri ulikuwa hata hukijui unachokizungumzia.We have been around long enough to know the changing faces of CHADEMA followers. Mkishinda kesi mnasema haki imetendeka; mkishindwa kesi mnasema mahakama zetu hazina uhuru!
Wapi nimesema mahakama ifuate maoni yangu? nimeandika mahakama isifuate maoni ya mtu, au una tatizo la kusoma na kuelewa vice versa?Huangalii maoni ya mtu lakini at the same time unataka mahakama iamue kama unavyoona wewe? Is that even logical?
Decisions za mahakama ni legal opinions. That’s why they’re appealable, in most cases.
JF sio (na haijawahi kuwa wala haitakaa iwe) mahakama!
Kupindisha ukweli wa wazi ili kumfurahisha HangayaKwa nini mkuu?
Mahakama imedhalilika sana !
Wapi nimesema mahakama ifuate maoni yangu? nimeandika mahakama isifuate maoni ya mtu, au una tatizo la kusoma na kuelewa vice versa?
Hapa ndio umenijibu kuhusu hoja ya "undue influence" uliyoianzisha? naona umekiri ulikuwa hata hukijui unachokizungumzia.
Mzito sana kuelewa, nimeandika jaji anatakiwa aangalie facts za case zinasemaje, then azihusianishe na sheria inayozihusu then aamue jambo kulingana na sheria husika, sio afuate maoni ya mtu (me, u, judge himself, or anyone else).Unapokataa maoni ya judge maana yake si unataka mahakama iamue kama unavyoona wewe?
Nimeshakuambia court decisions ni legal opinions za wale waliopewa dhamana ya kusikiliza na kuamua mashauri. They’re appealabe in most cases. Adjudication of a legal dispute isn’t an exact science!
Concept ya ku - prove beyond reasonable doubt jaji aliikwepa kwenye hili, siku zote point of dispute lazima ifanyiwe kazi na mahakama kwa kiasi ambacho mtu wa pembeni hawezi kubaki na swali lolote kuihusu, na kwenye issue hii, hiyo concept ilikuwa inamalizwa vizuri kwa kumleta Lijenje mahakamani.Sorry mkuu, legal practice is an unending learning profession. Mimi natamani kujifunza kutoka kwako; ni kweli Moses Lijenje na Kpt. Urio walikuwa wakitajwa mahakamani in a very suspicious way. Jaji Siyani alikuwa na uhuru wa kutumia sheria ipi kuhakikisha anafanya uamuzi wa kuiamuru prosecution kuwaleta hao wawili, i.e. Lijenje na Urio!? Could a Judge just decide anyhow, (in suo moto) to compel prosecution to produce the two before him!?
Kuna moja wapo ya uzi niliwahi kuandika hizi miscellaneous applications na POs wanazozifanya wanaishia kuwaumiza tu wateja wao. Nilisema kuwa ile PO waliyoiweka kuhusu jurisdiction ya mahakama will never succeed. Wanaishia kuwatesa wateja wao kwa kufanya kesi ichukue muda mrefu. Wangekomaa tu na merit of the case badala ya hizi technicalities ambazo will never determine the case to its finality.Uambieni utitiri wa wanasheria wenu ujipange kushinda kesi ya msingi. Waache kung’ang’ana na frivolous litigations!
Ndivyo mlivyo. You have been conditioned to accept victories only. Mkishinda, haki imetendeka; mkishindwa, chombo husika hakina uhuru. That’s a crooked definition of fairness!