Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

KWA mbowe ni gaidi alikimbia nchi na wenzake walisha hukumiwa
 
Umechambua na kueleza vizuri kabisa lakini je ndio mlengo wao hao wanasheria
Wewe unafikiri nini maana ya maswali yao. Unaonekana hupendi uwe ndiyo mlengo wao. Vumilia tu mkuu, hii kesi imewakalia vibaya waandaaji (Jamhuri).
 
Uelewa kisoda
Sawa bora mi hata kwenye mchezo wa draft kitatumika, ila wewe mwenye uelewa tusaidie tuelewe sasa je ni sahihi hayo makosa yakiuandishi yalikua yanatokea kwny document za polisi tuu ila kwenye document za washtakiwa ni sahihi japo mwandishi ni mmoja.?
 
Note:Report ya hafidhi imeandika " TERROLISM"
 
Nani kakuchapa?! Unechapwa wewe.
 
Kwa hyo wew ndio mwanasheria mzuri?Upuuzi mtupu
Mkuu huyu jamaa anateseka sana kwa nini asiende mahakamani akaungana na wale mawakili wa serikali au basi awaite hao wanasheria nguli??
 


Kuishi ktk imani hiyo ni kujidanganya sana. Kama huamini endelea kukandamiza watu na kuwanyima uhuru wao historia itakufunza kwani historia haikuwahi kudanganya. Chukulia mfano wa Swaziland yanayotokea hivi sasa utajifunza kitu
 
Let's wait for day-break.
 
Kwa ushahidi huu waking’ang’ania kumfunga basi kunaweza kutokea fujo kubwa sehemu nyingi nchini siku ya hukumu na kuendelea mbele.
Hakutakuwa na fujo zozote hata nzi wenyewe hawataruka...tuipe Mahakama imani Mungu yupo atatenda.
 
Acha pombe zitakuua.
 
Wanajiona wababe wa kupanga lakini kupangua ni zerooo.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni cynical tu. Credibility ya ushahidi huendana pia na reliability ya kilichosemwa na Shahid, sound-mindedness ya shahidi, uelewa WA shahidi katika jambo analolitolea ushahidi (collectively, credibility of witness). Sasa unaweza kusema kuwa Kingai amerhibitisha ushahidi gani pasipo chembe ya shaka? Na huyo Power Kaaya ushahidi wake ni credible kiasi gani? Na huyo koplo wa polisi anayeandika nyaraka muhimu ya ushahidi kwa makosa obvious ushahidi wake utaaminiwaje na Mahakama?
Pengine wewe ni prosecutor kwa kuwa ulikuwa ukilipwa mishahara si kwa utaalam!
 
huna akili au huna experience mahakamani. nilichokuambia ni kwamba, what if you expunge ushahidi wa huyo shahidi mmoja ambaye kwa demeanour au coherence ya ushahidi wake ataonekana hayupo credible, kesi ya prosecution imefia hapo au imeathirika vipi kwa ushahidi wa huyo mmoja?so the whole evidence is centred on that only single witness? subirini mwisho utakuja kuniambi.
 
Hii kesi ya kubumba haiihtaji expert wa criminal case, shahidi wa tatu bado hakuna ushahidi hauwezi kumui implicate mtuhumiwa.
ajabu yake wote wanaosema ni ya kubumba hawajui chochote kilichopo kwenye jalada. wazungu wamekuja wameona ushahidi wakanyamaza kimya wasubiri huruma ya mahakama, lakini kajambanani wa mbagala huko asiyejua chochote ila ameaminishwa na cdm kuwa ni ya kubumba ndio anasema hivyo. foolish, badala ya kupambana mahakamani vizuri mnaleta siala.
 
Kwenda huko wewe bushlayer.....kwenye sheria hakuna kitu kinachoitwa truth bali kuna facts.
we mburura kabisa, shahidi anapoapa pale mahakamani huwa anaapa kusema nini kama sio ukweli mtupu?
 
Case hii ilikwisha kwenye ile hukumu ndogo ambayo mahakama ili kubali kuchukua ule ushahidi ambao yasemakana hao makomando wali sign kukiri kutumiwa kutenda ugaidi....

hiki kinacho endelea mahakamani ni kupoteza muda tuuu... lakini hukumu ilishatolewa...
Mimi toka ile hukumu ndogo niliacha kufatilia hii case kwasababu hukumu ile ndogo itakuwa na mchango mkubwa sana kwenye hukumu kubwa....
 
Hata mumeo aliibuka kidedea na chama chake, 2020, lakini March 2021 chalii!
 
tatizo lako huna akili, mallya alikuwa anatest uelewa wa shahidi kuhusu ugaidi na akamuuliza ugaidi kwa kiingereza jambo ambalo shahidi asiye convesant na kiingereza hakulijua vizuri, kutojua tofauti kati ya terrorism na terrorist kunaathiri vipi ushahidi katika nchi ya waongea kiswahili, hiyo imeathiri ushahidi wake wote? credibility yake imepungua (kwa maana ya kusema ukweli ataonekana amesema uongo kwa ushahidi alioutoa kwasababu ameshindwa kuelewa maana ya terrorism/tourism)...ndio maana kila siku mnafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…