Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

kama kuna saini yake mle utarule out vipi kwamba hakuandika? rejea competence to tender MIZRAI's case
 
na unaamini kama ingekuwa ni hivyo na hakuna ushahidi mwingine prosecution wangekuwa hawajaondoa hiyo kesi? akili zako zimelala? na unawaamini makomandoo waliokua wamekula kiapo cha damu kulitumikia taifa ati wanaweza kuitumikia chadema? nani atakuja kuwafungua macho ninyi vipofu?
 
hao wazungu uliowaonesha wewe hilo file???? Kama mnalipwa kutetee hao watawala si uchukue pesa harafu ukae kimya?
 
hao wazungu uliowaonesha wewe hilo file???? Kama mnalipwa kutetee hao watawala si uchukue pesa harafu ukae kimya?
wazungu si umeona wamenyamaza, hao kina blair hukuwaona, balozi wa marekani yule mtetezi wenu na aliyekuwa anamlipa kigogo si uliona amesema tuiachie mahakama? mmejaza mashavu tu kupiga kelele mambo msiyoyajua.
 
Kwa hiyo unaomba kazi uwe wakili wa Mbowe?
 
wazungu si umeona wamenyamaza, hao kina blair hukuwaona, balozi wa marekani yule mtetezi wenu na aliyekuwa anamlipa kigogo si uliona amesema tuiachie mahakama? mmejaza mashavu tu kupiga kelele mambo msiyoyajua.
Mpumbavu mkubwa wee! Yaani mabalozi wanapewa ushahidi kabla ya mahakama! Wanaoneshwa ili iweje?
 
Hapana yule ni ngumbaru with no excuse

Tungeweza kumsamehe kwamba alisikia tofauti kwenye terrorism akajua ni tourism lakini kwenye terrorist kua ni ugaidi hapana aisee
 
Mtu wenu ahataokolewa na mawakili wasomi wanaharakati
 
Umechambua kwa akili ya ziada.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mpumbavu mkubwa wee! Yaani mabalozi wanapewa ushahidi kabla ya mahakama! Wanaoneshwa ili iweje?
shida yako wewe huna akili. wazungu awali walikuja juu sana, umejiuliza kwanini sasahivi wamenyamaza hawamtetei tena kipenzi chao? haujui kama wazungu pia wana intelijensia yao kwa kupitia watanzania tena wengien wapo serikalini? ndio maana huwa mnafungwa kwasababu mnaendesha mambo kwa jazba na siasa wakati akili mmezikalia. mnapokuja kusimama mmeshafungwa. pyuuuuuu
 
Hapana yule ni ngumbaru with no excuse

Tungeweza kumsamehe kwamba alisikia tofauti kwenye terrorism akajua ni tourism lakini kwenye terrorist kua ni ugaidi hapana aisee
🤣🤣🤣 Mkuu nimewaza sana mpaka nikajifikiria au alisikia kitu kama tourism?
Ni ngumu kuamini msomi kama huyo anayetegemewa na anafanya kazi maabara kama hio halafu kimombo '0'.

Engage anakuambia ni uchunguzi 🤣🤣🤣
 

Hao wanaofuatilia ndiyo hiyo 20% niliyobakiza.Ukweli hii kesi inasikitisha,acha tuone mwisho wake utakuwaje?
 
Umeandika mengi ambayo hayana uhusiano na kinachoendelea mahakamani, Jf great thinkers wanafuatilia kesi kwa undani na kujibu hoja kutokana na jinsi mashahidi wanavyotoa ushahidi, yaani mwenendo wa kesi

Asante sana Muheshimiwa GREAT THINKER
 

You may be daydreaming. This case isn’t all about illegal possession of a firearm!
 
Swali la msingi ni hilo la kwanza hapo hilo la pili nimakidai tu ya wakili.
 
Wewe siyo JF greater thinker, unawezaje kusema wabongo hawafuatlii kinachoendelea mahakamani bila hoja wala utafiti ila kwa mawazo yako, je kufuatilia mahakamani ni mpaka ufike mahakamani, je Habari na mwenendo wa kesi unatangazwa au umesusiwa,

Wewe hebu nipishe huko,Kutokuwa Great Thinker kwangu kunakuhuhusu nini? Unahangaikaje kujibu hoja ya asiyekuwa Great Thinker,maana naona unapuyanga na hili neno kila mahari utadhani ndiyo umeligundua leo.Haya pita kule.
 
Bila shaka akili yako imenajisiwa! Yaani unadhani nchi inaendeshwa kipumbavu namna hiyo mpaka kuwaingiza wazungu katika vyombo vya maamuzi na dola! Hujui kuwa hawaruhusiwi kujadili mambo ya mahakamani kama wanadiplomasia? Huo ulionao ni uzuzu ni heri kichaa wa Mirembe anajitambua! Sasa kwa nini wanakwenda kusikiliza kesi mahakamani kama wamepewa ushahidi tayari?

Wewe ni mshenzi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…