Naomba kujuzwa kama hii kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe inasikilizwa kwa faragha au iko kwenye mahakama ya wazi.

Niko hapa Nairobi ndio maana nashindwa kuelewa.

Mungu ni mwema wakati wote!
Tukuulize nawe swali moja, nairobi umeenda lini,je nani ataendelea kutuhabarisha. Hasa kutokea hapo mahakamani.?
 
Ccm ibaki ya wanawake. Kuna muda ukifika bado kuna mwanaume ndani ya ccm basi apimwe akili
Na chadema itabaki na wanaume tu. Na muda utafika kama bado kutakuwa na mwanamke ndani ya chadema, basi mwanamke huyo apimwe akili.

Tutakuwa mfano kwa vyama vya siasa duniani kwa kuwa na vyama vya siasa vya wanaume na vya wanawake kama ilivyo kwenye michezo ya mpira.
 
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😂😂😂😂😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆
Jamhuri imeweka mpira kwapana kwa kushirikiana na Mahakama........Majaji wanasoma ili waje wafanye kazi gani....this is humiliation to the court ..,.. embarrassing to kiwango Cha aja ndogo........ humiliation kwa Mkuu wa muhimili......failing state
 
Kisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa
Weka hicho kifungu cha sheria weweee mburula, acha kupayuka payuka without any evidence...
 
Hamna kazi za kufanya kazi yenu ni kukaa mahakamani siku nzima kufuatilia kesi ya Mbowe????

Anyway, kuna kitu watu wengi hawajui. Gaidi siyo lazima awe anamiliki AK47 au M16 Rifle au mabomu.
Gaidi anaweza akawa na kisu tu na akafanya ugaidi. Gaidi anaweza akawa na "ideology" tu kichwani na akafanya ugaidi.

By the way sisemi Mbowe ni gaidi, hapana. Kwa sasa hivi Mbowe is innocent until proven guilty.

Time will tell.
 
Kisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa




Martin M. M

@IAMartin_


Jana Jaji Mustapha Siyani alisema watuhumiwa waletwe mapema, saa 3 asubuhi kesi ianze, lakini mpaka saa 5 na Dakika 24 sasa kesi haijaanza kwa sababu ya polisi kuzuia watu. Mawakili wetu walikwenda kumuona Jaji, wanatupa taarifa kwamba Jaji amekana kuzia Jambo hilo mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…