CHADEMA Tanzania (@ChademaTz) Tweeted:
Wananchi wakiwa nje ya Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa baada ya kuzuiwa kuingia ndani ya Mahakama na Jeshi la Polisi, ambapo leo Sept. 16, 2021 shahidi wa kwanza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa KinondonI ACP Ramadhani Kingai ataendelea kutoa ushahidi wake. https://t.co/B0ORcpvcfi
 

Mbowe Ni Raisi 2025
 
Braza una mjibu mtu ambaye hata kuandika kwa usahihi hajui?
Huyo uzi mmoja anaweza comment mara 10 hata kama hakuna aliye mu quote
tulieni dawa iwaingie mashoga wa jf nyie waacheni wanaume waongee
 
Hamza mli prove wapi Ni gaidi?
 
I hope Mkuu Mwala atakuwepotema kutuletea dondoo za mwenendonwa kesi kama ilivyokuwa jana
 
Hii kesi kama ikiachwa iendelee inakwenda kumwaibisha mtu.. hii kesi ni ya kuachana nayo haraka ili tusonge mbele kama taifa. Tunatakiwa kuanza mapema kumalizia mchakato wa katiba mpya ili kabla ya 2023 iwe tayari na tuanze kujiandaa kwa 2025.
 
Nimeshtushwa sana na hawa polisi wetu ambao wanalalamikiwa kila kona ya nchi kwa kupora haki za watu, sasa wanazuia watu kuingia mahakamani na simu zao ni utaratibu wapi huu na umeanza lini? Mnataka kuficha kitu gani? Kwani hii ni mahakama ya kijeshi?

Kuweni current acheni mambo ya Kizamani, ICC yenyewe inahoji mashahidi mahakaman wazi wazi mpaka inafanya maamuzi. Kwanini mnaficha? Mkiambiwa mnatumoka kisiasa mnasema jamii haiwapemdi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…