aaa wee kosa kubwa ni kuvizia kiinua mgongo kwa wazee sio kunyanyasa watoiKosa kubwa la Vicky ni kuwanyanyasa watoto wa marehemu! Angekula nao vizuri wala yasingemkuta haya. Tatizo ni tamaa ya kutaka kumiliki mali peke yake huku watoto wakiteseka. Hakujifunza kwa K-Lyn?
Watoi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aaa wee kosa kubwa ni kuvizia kiinua mgongo kwa wazee sio kunyanyasa watoi
Ngj nipambn niwaandikie wanangu urithi as per laws and regulations...... Maake hali ni tete.Tamaa za kipumbavu
Watoi [emoji16][emoji109]aaa wee kosa kubwa ni kuvizia kiinua mgongo kwa wazee sio kunyanyasa watoi
Anataka kudhulumu mali za watu aache mara mojaTuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.
Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.
Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.
Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.
Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.
Na wewe unakimada?Ngj nipambn niwaandikie wanangu urithi as per laws and regulations...... Maake hali ni tete.
Likwelile alizikwa wapi?Mlaghai kashindwa tufurahi wapenda haki. Kimdudu hiki kimeingia siasa kutafuta tu, kiimefeli. Kimeingilia ndoa ya mtu mungu si athumani kimefeli.
Kaburini mkuuLikwelile alizikwa wapi?
Ndoa ya kikristo haina wake wawili na huyo mzee anasemekana ana mkewe ...Ina maana ypo ndani ya ndoa yey huyo Vicky ni danga hata kama wamezaa hapa ndio tatizo.Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.
Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
Hata mkeo naye atazikwa kaburiniKaburini mkuu
Vicky alikuwa ni mchepuko wala siyo mkeNdoq za kikristo haina wake wawili na huyo mzee anasemekana na mkewe ...Ina maana ypo ndani ya ndoa yey huyo Vicky ni danga hata kama wamezaa hapa ndio tatizo.
Hapana mkuu....Na wewe unakimada?
Mbwenii nadhanLikwelile alizikwa wapi?
Pressure ya nini sasa mkuu?Hapana mkuu....
Asante mkuu maana Vicky anaweza kwenda kuuza hata kaburi asee anaenda sn pesaMbwenii nadhan
Napenda kufanya vitu kwa logic tuuPressure ya nini sasa mkuu?
Tuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.
Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.
Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.
Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.
Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.
Mkeo atagombana na watoto wake? na anaweza kutangulia hata yeyeNapenda kufanya vitu kwa logic tuu
Ndugu yangu mrangi heshima sana. Hamisa ni wale zamani tulikuwa tunaita wanawake wa Magot. Wale wanawake waliokuwa wanajiuza kwa wazungu Magot kule posta, Dar. Kilichabadilika ni kuwa siku hizi wanakubalika kwenye jamii na wanasifiwa kama watu maarufu. Wapo wengi kweli.Kama Hamis Mobet naye wote inspiration wa wanawake bongo
Ova
Hawa wanawake Kaz ipo mshua.... Yaaan leo anasema baba yenu hanizid assets, hajui ata cash in hand au bank ni assets au kakariri mpk nyumba tuu.... Na kuita nyumba ety vijumba.... Anywe Savannah alaleAsante mkuu maana Vicky anaweza kwenda kuuza hata kaburi asee anaenda sn pesa