mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Never! Kagongwa bure tu. Wazee wa town hao mkuu!Hajagongwa bure mkuu.
Si unajua mizee ikiangukiaga kwa dogo dogo, ni kama mbwa anavyojipeleka kumezwa na chatu, anakuwa anaelewa tatizo, lakini hukosa uamzi mbadala!
Ndiyo maana hujisogeza kuliwa huku akilia!
Na kwa mapenzi yenye sura hiyo, lazima mzee alikuwa akihonga pakubwa na anakula padogo[emoji38][emoji38].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe mzee unafurahisha sana.Haya tulizomee lidangaji.
Hiloooooooooooooo.[emoji3][emoji3]
Kule Instagram analia Raymond(mtoto wa halali wa ndoa wa marehemu) eti anamchafuaAkina bi mdogo wanapigwa na vitu vikali kisogoni.
Msipojifundisha tena shauri zenu
Safi sana Mahakama.Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.
Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"
IT IS HEREBY ORDERED THAT:
i. The caveat is fails.
ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.
iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.
iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.
v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.
vi. No order as to costs.
View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Akitulizee na km kabadlisha wosia inamgharimu maake ukishaandaliwa mmja unabak nao.... Mwingine kwa mwanasheria if not mahakamn km sikoseiTamaa inamtafuna
Kumbe tatizo lake ni swimming pool alijengaMange ndo kammalizia kabisa, acha wakome
Hio hio bustan alsema braxa[emoji16]Ni uongo napajua mpk kwao hana kitu ana bustani ya maua na miti
Yeye tatizo lake ni swimming pool alijenga kwa mume wakeAkitulizee na km kabadlisha wosia inamgharimu maake ukishaandaliwa mmja unabak nao.... Mwingine kwa mwanasheria if not mahakamn km sikosei
Wanaua sana wanaume direct and indirectKwamba ana % kubwa kuwa kam kill Mr?
Wanaua kwa kukusudia, au kwa matendo yao mfano kisirani, kutaka show kila siku, mdomo nk?Wanaua sana wanaume direct and indirect
Mlaghai kashindwa tufurahi wapenda haki. Kimdudu hiki kimeingia siasa kutafuta tu, kiimefeli. Kimeingilia ndoa ya mtu mungu si athumani kimefeli.Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.
Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"
IT IS HEREBY ORDERED THAT:
i. The caveat is fails.
ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.
iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.
iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.
v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.
vi. No order as to costs.
View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Hatari snHio hio bustan alsema braxa[emoji16]
Ingia Instagram utacheka mpk ufeHuyo falaa eeh wenzakee Wana invest yeye anajenga swimming? Wanawake akil hazimo wallah [emoji24]
Amekuwa kimya Doreen mrema[emoji16][emoji16] na sjui km Ana watoto maake ni shda tupuHatari sn