Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Hajagongwa bure mkuu.

Si unajua mizee ikiangukiaga kwa dogo dogo, ni kama mbwa anavyojipeleka kumezwa na chatu, anakuwa anaelewa tatizo, lakini hukosa uamzi mbadala!

Ndiyo maana hujisogeza kuliwa huku akilia!

Na kwa mapenzi yenye sura hiyo, lazima mzee alikuwa akihonga pakubwa na anakula padogo[emoji38][emoji38].
Never! Kagongwa bure tu. Wazee wa town hao mkuu!
 
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Safi sana Mahakama.

Kuna yule mwingine aliyekuwa wa Reginald Mengi sijui rufaa yake iliishaje?
 
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Mlaghai kashindwa tufurahi wapenda haki. Kimdudu hiki kimeingia siasa kutafuta tu, kiimefeli. Kimeingilia ndoa ya mtu mungu si athumani kimefeli.
 
Tuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.

Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.

Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.

Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.

Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.
 
Back
Top Bottom