stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kugongwa na kigongo kwenye BusisiBroh tutumie lugha gan ety [emoji1787]
Kagongwa Kigongo-Busisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kugongwa na kigongo kwenye BusisiBroh tutumie lugha gan ety [emoji1787]
Kheee tena [emoji3].Kugongwa na kigongo kwenye Busisi
Kagongwa Kigongo-Busisi
Itakua kagongwa na kigongo kwenye Busisi yakeKheee tena [emoji3].
Dem anajizima data utumie lugha ya maadili[emoji16]
Itakua kagongwa na kigongo kwenye Busisi yakeKheee tena [emoji3].
Dem anajizima data utumie lugha ya maadili[emoji16]
I gat u ma nigaaItakua kagongwa na kigongo kwenye Busisi yake
kwa kweli hii lugha munayotumia haina heshima hata kidogo
Muhuni tu yule mzee .kamdhulumu dada wa watu
kama hujui lugha ya staha ni nini katika umri wako huo basi mimi siwezi kuwa mwalimu wako wa kukufundisha. PoleKm ipi hio kujamaana au kujamiiana au kufanya mapenzi au kuongiliana kimwili au kungonoka au kubanduana ndio stara? Tusiende mbali kwani wewe hujawahi kugongwa?
Mbona imeshawekwa?Please, do me a favor by availing herein a whole and complete judgement.
Tena Judge kaipiga pin hukumu hiyo na forgery, Vicky hata akienda CA hatobowi!!Mbona imeshawekwa?
Ulitaka kusema potential polygamous?Ndoa ya serikali Kwa Hali ya kawaida ni ndoa ya mke mmoja mune mmoja. Lakini inaruhusu kuongeza mke, Kama wakati wa kufunga mume uliweka wazi kuwa itakuwa potential monogomous. Yaani ni ndoa ya mke mmoja ambayo huko mbeleni inategemewa kuongeza mke!
Naam, very sorry Kwa mkanganyiko huo!Ulitaka kusema potential polygamous?
Tafadhari, sikiliza wasifu wake ili upate ufahamu zaidi.Pia alikuwa mchumi wa SADC na kumbuka Kikwete alimtoa Marekani alikuwa vizuri tu huko
Hapa naona mazishi yake yalitanguliwa na Ibada ya Misa ya mazishi ya Kikatoliki, hii inaonesha ndoa yake ilikuwa halali kwa upande wa Kikanisa. Ila kiserikali ndio hivyo tena. Huu ukinzani inabid uondolewe.Angesajili vipi,wakati bado ana ndoa nyingine ya mke mmoja?