NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Unafikiri anataka kwenda mahakama ya uhalifu kama wewe...Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siro sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= kipato Cha chini!
Na atakayesogea awe Mmarekani, awe Belgium, awe mwabudu ushog.. ataelewa baada ya Mkong'oto mtakatifu.Wote mnakaribishwa mahakamani?
Kwani kuna sherehe?
Huyu bwana wangemuacha wanazidi kumpa promo
Tuliza mihemko ndg! TL asitafute huruma wa wananchi! Na Wala asiwaingize raia kwenye Mambo binafsi! Apambane na Hali yake .mnyewe!
kuna vitu serikali yajichoresha bila sababu hivi washauri wa kisiasa kwa chama dola wameisha why mnafanya vitu vya kumtafutia sifa mpinzani wenu nakumpaisha kisiasa zaidi bila sababu? yan unamblandi adui wako ? sasa nawambia lissu hata mgemuweka ndandi
moja mtajuta na pili atapata kura ambazo hamtutakuja sahau zitakua mara 3 ya kura za 2015 za lowasa , haya ni mambo tunapewa na alie umba mbingu na dunia japo hatuna makanisa na hatujiiti sijui mitume wala manabii maana bado hatjapewa kibali but
yapo mambo mazito juu ya taifa hili mpaka unajiuliza hivi huu ujumbe napewa na mungu au ni ndoto za alinacha hasa binafsi maana mpaka sasa tangu mwaka umeanza kila kitu kama nakiona live kitokeapo
Nishukuru serikari na vyombo vyote vya ulinzi tz mmefanya jambo kubwa ujio wa lissu sasa nawashauri tena kesi za upande wake dhidi ya serikali futa zote but si lazima nimetoa maoni ,ila mzee wangu SIRRO IGP kuna kipindi kigum sana ila mungu atakutetea
naishia hapo kwa leo
Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siro sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= kipato Cha chini!
mkuu haya bwana tupo na siku azigandi mkuu , kama ndo ushauri huu mnampa mwenyekiti ccm na mgombea mtarajiwa mwafaaMimi ungenuiliza ningekujibu kwenye Inbox yako na kwa upana, lakini nitakufungua sayansi ya siasa (THE ART OF WAR FOR VICTORS AGAINST THE VANGUISHED ) Nitajitahidi kukuelimisha japokuwa ningejieleza vizuri kwa kiingereza.
Kwa kifupi Lissu hana madhara kabisa kabisa na kwa hali yeyote. Jamii ambayo angeisisimua sasa hivi sasa haiitaji kiongozi yeyote mbali ya Magufuli.
Na kundi la kwako na ambao wapo humu mtandaoni wanauwezo kidogo ya kuweza kupima chochote kinachoweza kuwatokea na madhara ya kisiasa na kiuchumi CCM. Na idadi kubwa wamehama yawezekana moja kwa moja. Kura ya maoni ya washiriki wanao taka kugombea Ubunge kupitia CCM inaweza kukupa picha halisi.
Chadema sasa hivi wako very broke na hawatoweza kuwa na nguvu ya kuwafikia wananchi kwa wingi kampeni ya uchaguzi 2020.
Kampeni machinery ya CCM itakapo anza kama wote tupo humu JF naomba unikumbushe haya mengi jinsi Lissu atakavyo sagwa sagwa kwenye kampeni mpaka ninyi Chadema mtamuona a liability. Zile crip za alivyo ongea Ulaya na Marekani na salamu zake mara zitakavyo anza kurushwa kwenye runinga mtajuta kwa nini Lissu ni Presidential Candidate.
Nina mengi lakini nitakuwa nakupa kidogo kidogo.
mkuu haya bwana tupo na siku azigandi mkuu , kama ndo ushauri huu mnampa mwenyekiti ccm na mgombea mtarajiwa mwafaa
, mtapigwa kipigo kitakatifu nyie relax muone , chadema hawezi kosa pesa ya kampeni hata kwa michango ya wanachama wao ladda nikukumbushe takwimu ya mwisho walikua na wana chama m 6 vipi kila mwana chama akichanga elfu tatu apo una zungumza bil ngapi ? hujaweka wapenda democracy na wasio na vyama , na kumbuka iyo idadi walitangaza mda kidogo wenda wameisha double.
pili chadema walianza mfumo wa mtu kwa mtu nyumba kwa nyuma so kama ni kijijin walisha maliza kazi nalo hujui? iyo sayansi ya siasa angalia usije kua unaitumia vibaya na kufanya chama dola kulala usingizi .
Nimalize tu mkuu chadema ipo sana na inatafuna chini kwa chini sasa nitakua nakukumbusha kadri october inavyo songea
ok mkuu ebu nishauri mwana sayansi ya siasa uliebobea mwaka huu kura nimpe nani mkuu,maana nimeona niliyetaka kumpa kura akilaum wananchi kumpa kiongozi kura na ndo maana stendi iyo sehem haijajengwa , vipi alikua sahii mkuu na nimpe kura mwaka huu ushauri mtahalam wa sayansi ya siasa. NOTE tangu 2010 nimpigaji mzuri wa kura but sijawai kujiunga na chama chochote mkuu ila kwenye kupiga kura huwa naangalia sera na mgomea binafsi so waweza kuta diwani nikampa upinzani ubunge nikampa chama tawala na uraisi nikampa upinzani hivyo hivyo ndo upigaji wa kura zangu mfano elf 2015 nilimpa magu but 2010 nilimpa slaa upande wa rais so mwaka huu wasemje mkuuAsante nitafurahia sana kama utanikumbusha kadri siku zinavyo enda. Siasa si vita na najua ukweli tutaufahamu tuu.
ok mkuu ebu nishauri mwana sayansi ya siasa uliebobea mwaka huu kura nimpe nani mkuu,maana nimeona niliyetaka kumpa kura akilaum wananchi kumpa kiongozi kura na ndo maana stendi iyo sehem haijajengwa , vipi alikua sahii mkuu na nimpe kura mwaka huu ushauri mtahalam wa sayansi ya siasa. NOTE tangu 2010 nimpigaji mzuri wa kura but sijawai kujiunga na chama chochote mkuu ila kwenye kupiga kura huwa naangalia sera na mgomea binafsi so waweza kuta diwani nikampa upinzani ubunge nikampa chama tawala na uraisi nikampa upinzani hivyo hivyo ndo upigaji wa kura zangu mfano elf 2015 nilimpa magu but 2010 nilimpa slaa upande wa rais so mwaka huu wasemje mkuu
Hao jamaa so ndio walipeleka logo Cha Akwilina!? Wanawatanguliza Kama kondoo machinjioni...wakiona hatari wanawaacha na upumbafu wenu! Aga kabisa ili mrembo wako watu wamrithi mfyuuu!Alipo tupo!
Ageni kwenu kabisa maana hata faida Hamna hapa duniani... maana hata kazi za kuwakwamua Hamna! Ngiri, nguchiro, fisi maji, mbweha ninyi mfffyyyuuuuuuu! Pimbi we na kizazi chako chote!Umesikia wapi anatafuta huruma ,sisi wapenda haki lazima tuende na haikatazwi kwenye sheria zetu kuwa kuhudhuria kesi ya mtu mahakamani ni kosa ,ww baki kwako hulazimishwi kuhudhuria pimbi ww
Akili yako finyu itawezaje elewa haya! Siyo kosa lako ni kosa la vina7 vyako!Magufuli ndio nchi ya Tanzania?
Ndio mpango wenu kubadali jina eeh Nchi iitwe Magufuli?
Acheni ujinga
Basi muwe mnawasindikiza woote wanaokwenda mahakani! Hamna kazi za kufanya!Unafikiri anataka kwenda mahakama ya uhalifu kama wewe...
He! Limenitesaje Tena! Mie nawapa pole familia yake tu!Ulishapaniki tayari. Hivi jina Lissu unaliruhusuje liishi kichwani bila kulipa kodi yoyote halafu likutese hivi???
Hao jamaa so ndio walipeleka logo Cha Akwilina!? Wanawatanguliza Kama kondoo machinjioni...wakiona hatari wanawaacha na upumbafu wenu! Aga kabisa ili mrembo wako watu wamrithi mfyuuu!
Tunapowaambia mpunguze mihemko na kuweweseka nadhani huwa hamuelewi!!! "kuhitaji kuelekea... sokoni au akili?"Unahitaji akili ya kawaida tu kuelekea hayo nilioandika! Kama hujaelewa Basi wewe ni mMbulula tu! Pole yako!
Tunapowaambia mpunguze mihemko na kuweweseka nadhani huwa hamuelewi!!! "kuhitaji kuelekea... sokoni au akili?"
Maspidi yanaua... kujipendekeza kukizidi ubongo unapoteza mwelekeo... tumbo linachukua nafasi.
Mwisho wa kunukuu ruksa kuhemkwa na kutoa mapovu 🙂
Mkuu hao ndio WANAODAI "SISI" SI "WENZAO!!" NA NDIO WANAODAI WAMELETA "MAENDELEO" NI HAO WANASHANGAA UMADKINI WA NCHI... HUKU WAKILALAMIKA KANA KWAMBA TUMEPATA UHURU MWAKA JANA!! Wacha tarumbeta zipigwe...Mijamaa mingine bora ingekuwa ni mi Mr. Hyena, pimbi na hata ngedere Buligi. Angalau nchi ingepata fedha za kigeni.
Hapo lilipo eti ndiyo liko shift ya usiku hivyo. Malipo yake ni kodi zetu.
No wonder we are poor!