Kesi za ndoa na talaka 1,358 zafunguliwa ndani ya miezi 8 Dar es Salaam

Kanuni namba moja ni kiwa hamjagegeda au kugegedwa kaabla ya ndoa. Ma milioni ya ndoa tayari zinakuwa zilishafeli hiki kipengele alafu bado wanataka ndoa idumu. Kujidanganya tuu.

Tunasema ndoa ni kuvumiliana lakini hao wanandoa watarajiwa wameshindwa kuvumilia kula mbususu na de libolo. Je kweli hawa watakuwa na uvumilivu ndani ya ndoa? Tusiwe na matarajio ya ajabu wakati sifa za kuishi kwenye ndoa wengi wetu hatuna.
 
Haya mambo huyawezi wewe hahahaha
 
Mkishatafunana mnaunganisha nafsi na tabia mbaya na madhaifu ya mwenzio ujificha,ngono ni sumaku utamu wa ngono uzuia kuona mapungufu ya mwenzio. Thus mila na dini vinapinga watu wanaotegemea kuishi pamoja kufanya ngono Ili iwe rahisi kumjua mwenzio. Ngono ndio sumaku iwavutayo watu kuingia kwenye ndoa bila kujua mapungufu ya mwenza.
Mkishaunganisha nafsi hamuwezi chunguzana.
 
Tuache uasherati jameni. Hakuna jema litokanalo na uasherati ata siku moja.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wanaona uzushi nahisi
Usalitiwe left and right, matunzo hawapewi wanakomalia nini sasa

na ambao bado hawajaleta mashauri baadhi wanaishi basi tu wasogeze siku
usizungumzie matunzo,mbona bill gate kaachana na mkewe,kwani mkewe alikosa nini?
 
Mmh! Mimi nadhani hiyo ni nia njema, watu wengi wanaingia kwenye ndoa uninformed, ukijua unaingia kwenye changamoto unajiandaa kushughulika nazo.
Kwa upande mmoja ukitazama ni hivyo ila kwa upande mwingine inakatisha tamaa, mtu anaona ni kama ndoa haina thamani tena maana watu wanaingia na kutoka ovyo, lakini pia mtu anaweza kuingiwa na uwoga kuwa huko kwenye ndoa kuna nini hadi watu wanatoka spidi wakati waliingia kwa hiari
 
Wanaona uzushi nahisi
Usalitiwe left and right, matunzo hawapewi wanakomalia nini sasa

na ambao bado hawajaleta mashauri baadhi wanaishi basi tu wasogeze siku
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
hauta nipa misukosuko kama hao wengine wanayopeana? Maana bwana alinipa maono kuwa nitanenepea ndan ya ndoa ila hakuniambia ni nan ataifanya hio kaz
🤣niambie Unataka mwanamke wako utakae mwoa Unataka akufanyie nn....Ili ndo unenepe ivo
 
hauta nipa misukosuko kama hao wengine wanayopeana? Maana bwana alinipa maono kuwa nitanenepea ndan ya ndoa ila hakuniambia ni nan ataifanya hio kaz
Ila ndoa sikuhizi ni moto,ubahatike tu
 
Huo ubinafsi ndiyo hizo wanazoita haki hao wabeba mimba
 
Washamalizana huko ila sijui kanda ya ziwa Kuna shetani gani

 
🤣niambie Unataka mwanamke wako utakae mwoa Unataka akufanyie nn....Ili ndo unenepe ivo
ahakikishe Nina aman yote inayotakiwa mtu awenayo (aman ya moyo, ya akili, ya wakati wa sex nk)
2. mapocho pocho yakutosha ( ni pamuhim sana tena ahakikishe Kila mda Nina kula)
3. Heshima

Mengne tutavumiliana au atayakuta huko huko kwenye ndoa
 
Ila ndoa sikuhizi ni moto,ubahatike tu
shida watu wamesahau na wengine wameacha kabsa misingi ya ndoa iliyowekwa na muasisi wake na kujiendea tu wengine wanaingia kwenye ndoa Kwa kutafta attention za watu siku ya harus anasahau kuwa kuna maisha baada ya kuvua shera
 
ahakikishe Nina aman yote inayotakiwa mtu awenayo (aman ya moyo, ya akili, ya wakati wa sex nk)
2. mapocho pocho yakutosha ( ni pamuhim sana tena ahakikishe Kila mda Nina kula)
3. Heshima

Mengne tutavumiliana au atayakuta huko huko kwenye ndoa
Yote hayatonishinda,ila 2 sasa....utakuwa unaacha hela ya kutosha pia🤦?
 
shida watu wamesahau na wengine wameacha kabsa misingi ya ndoa iliyowekwa na muasisi wake na kujiendea tu wengine wanaingia kwenye ndoa Kwa kutafta attention za watu siku ya harus anasahau kuwa kuna maisha baada ya kuvua shera
Hakika ndicho chatuponza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…