Acha uongo. Alijiua kwa moshi wa gesi chafu kwny gari take baada ya stress za kupigika wakati ana jina na matuzo ndani
Fatilia mkuu,ila kuniambia mimi muongo umenihuzunisha sana.ingekuwa upo karibu yangu ningekuwasha bastola.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo. Alijiua kwa moshi wa gesi chafu kwny gari take baada ya stress za kupigika wakati ana jina na matuzo ndani
Nadhan ilikua Ethiopia. ..ila huyu mtoto alipona...
Hakupona alikufa,aliliwa na huyo ndege.
Jamaa aliyepiga picha ni mzungu from south africa na alijiua badae coz of guilty. Alijuta kutomsaidia huyo mtoto so akaona afadhali kujiua. Ilikua picha ya mwaka that year..that kid alikua akielekea kituo cha kutolea msaada wa chakula kilichokua few kms from there. So sad
jamaa alopiga picha alipewa tuzo ya best photographer that year ila its true finnaly alijisuicide commit kwa kuona kitendo cha kumshuhudia mtoto akiliwa mpaka kufa it was not Humanity
Kuna hii piaView attachment 244341View attachment 244341
Wapiga picha sijui walitoa msada gani kwa watu hawa
Fatilia mkuu,ila kuniambia mimi muongo umenihuzunisha sana.ingekuwa upo karibu yangu ningekuwasha bastola.
Fatilia mkuu,ila kuniambia mimi muongo umenihuzunisha sana.ingekuwa upo karibu yangu ningekuwasha bastola.
Acha uongo. Alijiua kwa moshi wa gesi chafu kwny gari take baada ya stress za kupigika wakati ana jina na matuzo ndani
Tuwe tunasoma vizuri na kuelewa...
Hii ni nukuu toka New York Times;
"After receiving a number of phone calls and letters from readers who wanted to know what happened to the little girl, the New York Times took a rare step and published an editors note describing what they knew of the situation.
The photographer reports that she recovered enough to resume her trek after the vulture was chased away. It is not known whether she reached the [feeding] center."
Jamani tuwe tunasoma halafu baada ya kusoma tuelewe halafu baada ya kuelewa tuhifadhi kumbukumbu sawasawa...
Je umesoma wapi kuwa Kevin Carter alijiua kwa sababu ya kukosa kumsaidia huyo binti?
Tusemeje? How can someone commit suicide 3 months aftr winning the prize ya picha ya aina ile? That scenario ilidisturb mind na its obvious guilty ilimmaliza
"She recovered enough" hayo ni maneno ya mzungu kujustify alichokifanya huyo aliyepiga picha na kusepa. Hawa wa2 ni washenzi tusiwatetee
Carbon monoxide...
Kuna hii piaView attachment 244341View attachment 244341
Wapiga picha sijui walitoa msada gani kwa watu hawa
Nadhan ilikua Ethiopia. ..ila huyu mtoto alipona...
Mkuu hata mm najua inaitwa hivyo kwa kimombo, so hukuwa na haja ya kuandika
Mtoto alikufa mkuu na huyo scavenger hapo nyuma akafanya yake.
</dd></dl>[h=2][/h]<dl><dd>"I'm really, really sorry. The pain of life overrides the joy to the point that joy does not exist... depressed ... without phone ... money for rent ... money for child support ... money for debts ... money!!! ... I am haunted by the vivid memories of killings and corpses and anger and pain ... of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners ... I have gone to join Ken if I am that lucky."